Vijana acheni pombe na Energy drinks, mwifwa

Ndo ukweli huo. Tafuta gazeti la Mwananchi la jana Machi 15, 2024 wameandika kwa kina sana...inaonekana unywaji pombe ni tatizo sana hasa kwa Vijana, ushahidi ni ukienda wikiendi Tabata, Kitambaa, Rainbow etc
Hii shisha ndo tatizo kabisa. Ushahidi wa Kisayansi unaonesha uvutaji wa shisha prolonged unasababisha Kansa ya mapafu, utumbo, kansa ya kibofu, na kansa iitwayo nasopharyngeal aka kansa ya koo.
 
Aisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣
Madhara yake utayapata baada ya miaka 10-15 ijayo. Sasa hivi bado una mwili strong unaweza kupokea mapigo yoyote,
 
Mbona Hayo Matatizo Tunayaona Kwa Wazee Si Vijana?

Tuzingatie Afya Katika Ulaji Wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…