Vijana Arusha kuvaa Diapers/Pampers Ni fashion mpya?

Vijana Arusha kuvaa Diapers/Pampers Ni fashion mpya?

Ukwel usemwe suala la ushoga miji yote mikubwa ni tatizo .nawapongeza sana mikoa ya nyanda za juu kusini wamejitahidi kudhibiti sana
Mikoa ipi hiyo? Iringa? Mbeya? Ruvuma?Songwe?

Uliza uambiwee, Mbeya ndo kituo kabisaa, Iringa sina haja ya kusema, Songea enyewee wapo na wamejaa teleee.
At least Njombe kidogo kuna nafuu. Kila sehemu mashoga wapoooo.
 
Mikoa ipi hiyo? Iringa? Mbeya? Ruvuma?Songwe?

Uliza uambiwee, Mbeya ndo kituo kabisaa, Iringa sina haja ya kusema, Songea enyewee wapo na wamejaa teleee.
At least Njombe kidogo kuna nafuu. Kila sehemu mashoga wapoooo.
Uzuri nimekulia kote huko utotobwangu na naishi moshi .ushoga tz nikifananisha na kenya bado sio Jamba maarufu .kifupi wanachukiwa na hawakubaliki.mbeya kidoogo ni muingiliano na mikoa mingine inachangia ila iringa songwe na songea sio shoga hata malaya wa kawaida kumpata ishu kishenz wengibwamekimbilia dar.shoga iringa ipii? Iringa hadi leo hakuna hata club??
 
Back
Top Bottom