92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Nadhani uzi uishie hapa kabisa hakuna picha hii ni uchochezi kabisaBila picha uzi ufutwe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani uzi uishie hapa kabisa hakuna picha hii ni uchochezi kabisaBila picha uzi ufutwe..
Bila picha ni uzushi
huu ni uzushi, alete pichaArusha mna mashtaka hapa. Vijana wanajipigilia pampers kabla ya kulewa
Mikoa ipi hiyo? Iringa? Mbeya? Ruvuma?Songwe?Ukwel usemwe suala la ushoga miji yote mikubwa ni tatizo .nawapongeza sana mikoa ya nyanda za juu kusini wamejitahidi kudhibiti sana
Uzuri nimekulia kote huko utotobwangu na naishi moshi .ushoga tz nikifananisha na kenya bado sio Jamba maarufu .kifupi wanachukiwa na hawakubaliki.mbeya kidoogo ni muingiliano na mikoa mingine inachangia ila iringa songwe na songea sio shoga hata malaya wa kawaida kumpata ishu kishenz wengibwamekimbilia dar.shoga iringa ipii? Iringa hadi leo hakuna hata club??Mikoa ipi hiyo? Iringa? Mbeya? Ruvuma?Songwe?
Uliza uambiwee, Mbeya ndo kituo kabisaa, Iringa sina haja ya kusema, Songea enyewee wapo na wamejaa teleee.
At least Njombe kidogo kuna nafuu. Kila sehemu mashoga wapoooo.
Erooo, subai? Narenduu? Shimbonyi shafooo?
NAKAZIABila picha uzi ufutwe..
Ndawoo inakuwaje aseeErooo, subai? Narenduu? Shimbonyi shafooo?
Mkaldayoooo wewe ni mbusiiii.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Noma kweliMiaka ya 2010 vijana hao wa arusha walihojiwa wengi wao ni homeless kwenye bbc swahili wakasema wanavuliwa ubingwa kwa 25000/ mpaka 50,000/ wateja wakubwa ni wazungu
Itakuwa choo kimejaa tena!Tukiwa tunajiburudisha jion ya Leo hapa Arusha - Kona ya Florida nimeshuhudia kijana aliyekaa kaunta pampers aliyovaa ikichomoza Kwa nyuma. Hii Imekaaje, na hii si mara ya Kwanza kushuhudiq haya. Hii Imekaaje?
Sidaaii ndawoo, kirabiooo?Ndawoo inakuwaje asee
Hatarii hiiItakuwa choo kimejaa tena!