VIJANA, CHADEMA inawapoteza, rudini CCM au jiungeni na vyama vya upinzani visivyo vya kitapeli

Kweli chadema ni kiboko ya magamba. ...na bado mtaisoma number. .huku chadema. ..kule ukawa inaitwa ttwanga kote kote hahaha
 

Jua yako tuache na CHADEMA yetu, mbona hiki chama kinawanyima usingizi kiasi hiki?
 

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mtaa-ccm-aiba-jeneleta-la-mwananchi-wake.html
Huko mnakoiba mali ya wananchi ndo unataka tuje?????
 
Laana ya kula rambi rambi ya Marehemu Mwangosi bado inakutafuna wewe mla mbwa
 
Yaani, chadema iwe chama cha kitaperi! Ccm itakuwaje!? Mavi ya, uharo!
Kabla ya, chadema, ilikuwepo nccr mageuzi, ikaja cuf, udini ukaipoteza!
Chadema nu tishio kwa majizi, ya ccm,
 
Nafikiri ni kudanganyana tu maana kama ni barafu ni barafu Gani hii haiyeyukagi Miaka zaidi ya saba pamo jana kunyimwa kufanya Sasa muda woteule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…