Nimemsikia waziri mkuu Kassim Majaliwa Juzi akiwa Shauri vijana wenye shahada za vyuo vikuu lakini hawana ajira wajiunge na vyuo vyetu vya Veta ili kujifunza SKILLS mbali mbali.
Nimesoma pia kwenye mitandao vijana wakiubeza ushauri huu!! Ushauri huu ni mzuri ambao vijana wanatakiwa kuuchangamkia badala ya kuzunguka na bahasha za certificates kutafuta kazi maofisini! Ukiwa na shahada yako ukaenda VETA ukajifunza jinsi ya kutengeneza/repair engine za magari au matrekta ni dhahiri kuwa ukihitimu huwezi kukosa kazi ya kuendesha maisha yako ; hasa wakati huu ambao serikali onahimiza agricultural mechanization. Huko mashambani mafundi wa kurepair matrekta na mitambo mwingine watahitajika sana.
Veta wanafundisha fani nyingi kama mambo yanayohusu umeme, mambo yanayohusu computers, urembo, mapishi, uselemala etc. Given background ya hawa vijana wenye shahada itakuwa rahisi kwao kuhitimu kwenye hizo fani kwa muda mfupi na kuanza kupata kipato.
Dunia ya leo ili kufanikiwa watu hutegemea sana SKILLs kuliko degree certificates. Mtu mwenye ujuzi wake awe fundi bomba au Seremala hawezi kulala na njaa kwani huduma zao zinahitajika na wengi na kila mara!
Soma Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Nimesoma pia kwenye mitandao vijana wakiubeza ushauri huu!! Ushauri huu ni mzuri ambao vijana wanatakiwa kuuchangamkia badala ya kuzunguka na bahasha za certificates kutafuta kazi maofisini! Ukiwa na shahada yako ukaenda VETA ukajifunza jinsi ya kutengeneza/repair engine za magari au matrekta ni dhahiri kuwa ukihitimu huwezi kukosa kazi ya kuendesha maisha yako ; hasa wakati huu ambao serikali onahimiza agricultural mechanization. Huko mashambani mafundi wa kurepair matrekta na mitambo mwingine watahitajika sana.
Veta wanafundisha fani nyingi kama mambo yanayohusu umeme, mambo yanayohusu computers, urembo, mapishi, uselemala etc. Given background ya hawa vijana wenye shahada itakuwa rahisi kwao kuhitimu kwenye hizo fani kwa muda mfupi na kuanza kupata kipato.
Dunia ya leo ili kufanikiwa watu hutegemea sana SKILLs kuliko degree certificates. Mtu mwenye ujuzi wake awe fundi bomba au Seremala hawezi kulala na njaa kwani huduma zao zinahitajika na wengi na kila mara!
Soma Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri