shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Rika sio kigezo, uwezo wa ,mtu ndio determinantNimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi.(CCM)
Na mzee wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wanadhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kilasiku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee
Aah wapi ni kigezo piaRika sio kigezo, uwezo wa ,mtu ndio determinant
kijana uteuliwe makamu mwenyekiti wa CCM? Unajua majukumu yake? Siyo kila kitu kulalamika, kazi ziko nyingi acha uvivuNimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
wa kuvaa milegezoVijana wasioweza kuandika na kutamka kiswahili!?.. wasiojua majina na jiografia ya mikoa ya nchi yao!?..vijana gani unawqzungumzia
Kwani wote wapo hivyo?Vijana wasioweza kuandika na kutamka kiswahili!?.. wasiojua majina na jiografia ya mikoa ya nchi yao!?..vijana gani unawqzungumzia
πππππππππsubirini mtazeeka wala hakijaharibika kitu
Vijana wenyewe ndiyo hawa machawa kama akina Lucas Mwashambwa, CCM itaachaje kujishikilia na vikongwe!?Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
πππππ Jamani lucas asigharimu woteVijana wenyewe ndiyo hawa machawa kama akina Lucas Mwashambwa, CCM itaachaje kujishikilia vikongwe!?
Angalau angekuwa 50 -60 lakini 80????kijana uteuliwe makamu mwenyekiti wa CCM? Unajua majukumu yake? Siyo kila kitu kulalamika, kazi ziko nyingi acha uvivu
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.