ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Vijana wa sasa ni kweli lakini vijana wa Zamani ndio waliodai Uhuru na kisha wakawa Viongozi wa Nchi zao wakiwa bado Vijana kabisa !Exactly 💯
Bora wazee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa sasa ni kweli lakini vijana wa Zamani ndio waliodai Uhuru na kisha wakawa Viongozi wa Nchi zao wakiwa bado Vijana kabisa !Exactly 💯
Bora wazee
Vijana sometimes hawana hekima 😜Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Wanadhalilisha na hata kutukana Wazee kisha wanajiona eti ni wajanja wa mjini 😳 !Vijana hamna busara
Hamna adabu
Ova
Bandiko lako lote limekosa uhalali pale ulipoandika "uchaguzi wa chama cha mapinduzi....".Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.