Pre GE2025 Vijana hatuna chetu, wazee bado wanaendelea kulamba teuzi

Pre GE2025 Vijana hatuna chetu, wazee bado wanaendelea kulamba teuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.

Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.

Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Vijana kibao wamepewa uwaziri nk. Labda hujui kutafakari!!!
Wazee lazima wabaki wachache kama washauri wakuu Tena wasio na tamaa za vijana wasasa
 
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.

Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.

Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Mie nitashangaa sana kama Polisi watawasaidia CCM washinde uchaguzi mkuu
Nitashangaa kama walimu watasaidia CCM kushinda
Nitashangaa kama wanajeshi watasaidia kupiga kura kwa CCM

Labda hata wewe umewahi kuwapigia kura hawa wahuni.

Vijana, Vijana, vijana -- jitambueni, haya ndiyo maisha yenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Angalia Mzee wa miaka 80 anapewa madaraka ya kukuamulia wewe kijana. Ilibidi huyu mzee apewe hekima zake apumzike.
 
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.

Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.

Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Chukuwachakomapema ni ya kwao na genge lao na watoto wao!
Wengine? Kufeni tuuu....
Hata mkijitahidi na kulamba miguu yao kama @lucasmwashambwa
 
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.

Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.

Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Vijana wengi ni mazezeta
 
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.

Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.

Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Kuwa kwako kijana sio sifa ya Uongozi kama dishi tupu
 
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.

Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.

Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Wazee wamegundua vijana hawana akili.
Wameona wawaachie kazi ya Uchawa ambayo wao hawaiwezi.

Hapo mzee Wasira kaongeza ajira kwa machawa wapya watakaokuwa wanamsifia kila siku.

Upuuzi kama huu KENYATA hautaki kabisa. Anahimiza vijana kujitambua.
 
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.

Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.

Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
CCM ni chama cha hao wazee, watoto, ndugu zao na marafiki. Vijana ambao hamna Godfather hamna chenu.

CCM inawaambia hivyo.
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM ni title kubwa mno sio ya kupewa KIJANA,

yani mwenyekiti awe RAIS halafu makamu wake awe JOKATE akili mnayo nyie?

Makamu mwenyekiti ni mtu ambae anaweza kuwa MWENYEKITI LIKITOKEA lolote

anahitajika mtu mwenye upeo,uzoefu,busara,maono,nk sio cheo cha mwenyekiti wa mtaa hicho.

Moja kati ya Vyeo vya JUU sana katiaka Taifa ni hicho,vijana waendelee pata uzoefu huku chini
 
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.

Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.

Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Kwani vijana si wamempigia kura kwa wingi. Amepata 99+ mbona vijana hawakumkataa. Adui wa vijana ni vijana wenyewe
 
Historia inaonesha vijana waliowahi kupewa madaraka makubwa waliharibu kazi
Makonda
Hapi
Sabaya

Acha tu wazee watuongoze, vijana tuna ujinga mwingi acha tuendelee kuvizia mashangazi
Excuse ya uongo, wapo vijana waliopewa hizo nafasi hawakuharibu, wapo pia vijana wenye nafasi hata sasa wapo vizuri
 
Back
Top Bottom