Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Hiyo busara ya wazee imetumika au inatumikaga wapi? Maana kwenye uchaguzi ni yaleyale tu miaka yoteVijana hamna busara
Hamna adabu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo busara ya wazee imetumika au inatumikaga wapi? Maana kwenye uchaguzi ni yaleyale tu miaka yoteVijana hamna busara
Hamna adabu
Ova
sabaya alivamiaga hotel aliyofikia nandela moshi, et anataka kuonana naye, anaambiwa kapumzika anajbu mwambieni ni mm namtaka, watu wenye hekima wakamwambia kiongozi unajiharibia, ndo akaondoka kwa aibuVijana hamna busara
Hamna adabu
Ova
Mhuni tu yulesabaya alivamiaga hotel aliyofikia nandela moshi, et anataka kuonana naye, anaambiwa kapumzika anajbu mwambieni ni mm namtaka, watu wenye hekima wakamwambia kiongozi unajiharibia, ndo akaondoka kwa aibu
Leo amesifia mavazi ya mama aksema kuwa yafaa kuwa vazi la taifa Kila mtu anatamani kuvaa hata wanaume! Sasa kijana amekaza mbupu!😀😀😀😀😀 Jamani lucas asigharimu wote
Nani kawafanya wawe hivyo walivyo? Nani alaumiwe kwa umbumbu huo?Vijana wasioweza kuandika na kutamka kiswahili!?.. wasiojua majina na jiografia ya mikoa ya nchi yao!?..vijana gani unawqzungumzia
Nasindikiza UziNimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Umbumbu wameutaka wenyewe,nikiangalia vitabu vya shule sioni sababu ya wao kuwa mbumbumbu,vitabu vimeandikwa thelathini,themanini,thamani lakini wao watamka tofauti, atlas zina ramani za tawala za mikoa,lakini wao utawasikia mkoa wa moshi, mkoa wa songeaNani kawafanya wawe hivyo walivyo? Nani alaumiwe kwa umbumbu huo?
Vijana ni wa kutumiwa kama daraja la kuwabeba wenye chama, kazi yao ni uchawa pro max basiNimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.
Machawa kina LucasVijana wasioweza kuandika na kutamka kiswahili!?.. wasiojua majina na jiografia ya mikoa ya nchi yao!?..vijana gani unawqzungumzia
Exactly 💯Historia inaonesha vijana waliowahi kupewa madaraka makubwa waliharibu kazi
Makonda
Hapi
Sabaya
Acha tu wazee watuongoze, vijana tuna ujinga mwingi acha tuendelee kuvizia mashangazi
Vijana kazi wanazo zile za kutumwa kuwadhalilisha na kuwapiga wale wanatukosoa sisi Wazee wa Chama !Nimekuwa nikifatilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM), Na Mzee Wasira amefanikiwa kupita kuwa makamu mwenyekiti. Sina ubaya na mzee Wasira(80). Ila swali langu kuwa vijana wamekosa nini au wana dhambi gani hadi wasiaminiwe.
Kila siku wazee wanawaambia vijana wajiajiri huku wenyewe waking'ang'ania ofisi mfano huyu mzee miaka themanini ila amerudi kuajiriwa na chama.
Sasa vijana wenzangu tukae tukijua adui wa vijana ni wazee hawatulio nao.