Pre GE2025 Vijana hatuna chetu, wazee bado wanaendelea kulamba teuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana sometimes hawana hekima 😜
 
Kwa hiyo vijana mulikuwa munataka Umakamo mwenyekiti? Hopeless kabisa

Kwanza vijana wengi wa UVCCM ni mapunga
 
Bandiko lako lote limekosa uhalali pale ulipoandika "uchaguzi wa chama cha mapinduzi....".

Uchaguzi upi!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…