Vijana kachukueni Pasipoti zenu Uhamiaji mtawanyike Duniani; kusubiri ajira na uteuzi ni utumwa wa fikra

Vijana wa Sasa hivi siyo wasafiri Kama vijana wa zamani, Vijana wa siku hizi akipata pesa kidogo tu anakimbilia kununuwa godoro na kabati, Sasa huyu ukimwambia kuhusu safari,anaanza kuwaza godoro lake na kabati atamuachia nani!?
Very correct
 
Kwa jinsi tulivyo wavivu, hatutoweza kuishi nchi za wenzetu.
Sisi ngoja tuendelee tu kuishi hapa hapa bongo tukishinda kwenye vijiwe vya kahawa huku tunabishana issue za simba na yanga.
Wewe na machoko wenzako inatakiwa muuzwe nnje ya nchi kama mbolea..
 

Yaani kama wanigeria tu, kila kona wapo
 
Mimi nilifatilia mpaka nikachoka nikaahilisha, nikaona acha tupapalikie huu huu mkate mdogo uliopo hapa kwetu
 
Kuna watu wanachukulia kila kitu easy kupata passport Tanzania sio rahisi kama mnavyofikiria kama ww ulipata ki urahisi basi ilikuwa bahati yko tu ila wale wanapenda hela kama hawalipwi mishahara.
 
Ukishakuwa na kitambulisho cha kuzaliwa au cha uraia upewe passport yako.....
Sasa vyeti vya kuzaliwa vya wazazi navitoa wapi sasa hivi
 
Kutoka thd za kuponda wabeba box mpaka thd za kushauriana kutafuta fursa za kwenda kubeba box nje,

Kweli muda ni muamuzi mzuri sana,
Nakomaa na box hapa kwa Malkia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…