Vijana kachukueni Pasipoti zenu Uhamiaji mtawanyike Duniani; kusubiri ajira na uteuzi ni utumwa wa fikra

Kuna watu wanachukulia kila kitu easy kupata passport Tanzania sio rahisi kama mnavyofikiria kama ww ulipata ki urahisi basi ilikuwa bahati yko tu ila wale wanapenda hela kama hawalipwi mishahara.
Tafuta mtu wa kukutuma pale me nilipewa passport siku 2 trust me na sikuandika documents yoyote vyote waliandika wao wakiniuliza kwenye simu
 
Ukishakuwa na kitambulisho cha kuzaliwa au cha uraia upewe passport yako.....
Sasa vyeti vya kuzaliwa vya wazazi navitoa wapi sasa hivi
Andika affidavit itasimama kama vyeti vya wazazi
 
Tafuta mtu wa kukutuma pale me nilipewa passport siku 2 trust me na sikuandika documents yoyote vyote waliandika wao wakiniuliza kwenye simu
Mkuu mimi nilikuwa na documents zote na kila nilikamilisha ila nilichelewa kupata passport japo nilifanikiwa ila nilichelewa kuipata ww ulibahatika mkuu.
 
Mkuu mimi nilikuwa na documents zote na kila nilikamilisha ila nilichelewa kupata passport japo nilifanikiwa ila nilichelewa kuipata ww ulibahatika mkuu.
Tatzo pale watumishi wanajiona kutoa passport kama ni hisani yao hakuna nidhamu KILA mtu anataka tengeneza mazngra ya kupga pesa
 
Kutoka thd za kuponda wabeba box mpaka thd za kushauriana kutafuta fursa za kwenda kubeba box nje,

Kweli muda ni muamuzi mzuri sana,
Nakomaa na box hapa kwa Malkia.
Mkuu siyo kila homa ni malaria mambo yamebadilika...nipe na mm fursa nije hapo elimu degree na nauli ninayo ya kunifikisha shida ni mchongo wa kupata visa
 
Mkuu wazo lako ni zuri ila huoni kuna haja sisi vijana kuchangamkia fursa zilizoko humu humu nchi mfano fursa za kilimo,ufugaji,biashara ndogo ndogo za kati na kubwa,uchimbaji wa madini (urithi wetu kabisa) kuliko kukimbilia nje
Nadhani its better tutoke (tuombe passport as you said) tukiwa na dira mfano tutoke tumezalisha mazao yetu na kuyaongezea thaman huko twende kwa ajili ya kutafuta soko eg ufuta huko Liwale au mazao ya ziwan mfano samaki toka ukerewe
Kingine kufika Dsm au majiji ya aina hio isiwe ndio kipimo cha mafanikio...
 
Kuna ndugu yangu kanyimwa passport kisa barua ya shule,
Hakumliza dhule so hana cheti eti kwanini, viambatanisho vingine vyote vipo
Tutatue hapo kwanza kisha ndio tupande ndege
 
Uhamiaji wanatakiwa kutoa passport kwa yeyote mwenye uraia halali wa Tanzania na anayeweza kulipia, maswali mengine yote ambayo huwa wanauliza hayana msingi.
Nchi unayokwenda ndio wanatakiwa kuuliza hayo maswali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…