Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Hii ni mara ya pili bon yai anaandika kuhusu wale vijana wa k.koo watano
Waliniuma sana nikaassume ndo kuna mdogo wangu

Je kuna mtu anajua lolote kuhusu wale vijana
 

Attachments

  • D070ACA1-3944-4309-9D19-4A6A41CD354B.png
    567.8 KB · Views: 10
😁😁
 
Ogopa sana sehemu watu wanafanya biashara kwa mali kauli, hilo eneo jua hao watu wana mtandao na wanaaminiana sana sasa wewe ukienda na ujinga wako wa tamaa na kuwaona maboya ukataka kuwapiga aise watakushughulikia kikatili sana.

Vijana tuwe waaminifu na makini sana kwenye biashara za mali kauli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…