Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Sipendi kunihusisha na mtu mwingine, sasa unachojikomentisha kunitaja kitu gani??
Kwahiyo ikitokea id ikakumention unakuwa ni wewe?? Idiot mwenyewe

Kaa kwenye nafasi yako, pambana na adui sio mimi.
Screenshot comment yangu niliyokutaja.

Aliekutaja ni huyo ndgu yako, hii id yako sijawahi hata kuiona hapa how comes nikutag??

Acha kureply comments zangu, siongelei kuhusu wewe usijistukie mkuu.
 
Hivi wewe mwanamke sijui mwanaume uko sawa kweli?
Wapi nimetafuta ligi na wewe.

Nimeshaacha kureply comments zako unaanza kuchunguza nacomment nini uje kureply sio?

Hapo nimemjibu ndgu Tyrion_Lannister au umeona nimekutagi hapo??
Na hapo nimemuongelea huyo alopigwa ban maana alisema ana id ya kike, ajabu wewe unajistukia na kusema nataka ligi na wewe.

Idiot.
Mkuu wachana nae huyo. Probably atakuwa yuleyule, sababu ame-pay much attention kwenye suala lisilo na maana yoyote.
 
Mkuu wachana nae huyo. Probably atakuwa yuleyule, sababu ame-pay much attention kwenye suala lisilo na maana yoyote.
Sio tu lisilo na maana bali pia halimuhusu kabisa.
Nilitegemea zile comments zake mbili tu za mwanzo zingemaliza mjadala( hasa kwa wanawake wa jf wasivyopenda ligi)

Jamaa kala ban naona kaja kuendeleza kwa namna nyingine.
 
Screenshot comment yangu niliyokutaja.

Aliekutaja ni huyo ndgu yako, hii id yako sijawahi hata kuiona hapa how comes nikutag??

Acha kureply comments zangu, siongelei kuhusu wewe usijistukie mkuu.

Huko juu huyo mjinga alinitag wewe ukasema mods waunganishe id yangu na yake ulikuwa unamaanisha nini??
Kwahiyo id zote alizotag hujaziona mpk yangu?? Acha ujuaji na kutafuta sifa

Wewe pambana na adui yako, na uzuri ana id nyingine atakuja muendeleze ligi msubiri.
 
Kuna wengine wanawatapeli wachina.
Wanapewa mzigo kwa mali kauli kutoka china alafu wao kazi yao ni kuwarejeshea sehemu ndogo ya faida.
Lakini hawafanyi hivyo

Sasa uliona wapi tajiri asiye na genge la wahuni?
Na ndio chanzo kikuu, wachina ni wabadi sana ni vile tunawaona wanacheka cheka hovyo.
 
Huko juu huyo mjinga alinitag wewe ukasema mods waunganishe id yangu na yake ulikuwa unamaanisha nini??
Kwahiyo id zote alizotag hujaziona mpk yangu?? Acha ujuaji na kutafuta sifa

Wewe pambana na adui yako, na uzuri ana id nyingine atakuja muendeleze ligi msubiri.
😂😂😂 Huu mwandiko, kumbe pia unajua ana id nyingine na atakuja pia nimsubiri.

Anyway tufanye yameisha na nimekuelewa kamanda.
 

Attachments

  • IMG_20240423_235923_369.jpg
    IMG_20240423_235923_369.jpg
    43.8 KB · Views: 15
Hio sijaona mkuu sasa wakibanwa si warudishe Pesa za watu kwani ni mpaka wafe hivyo Mkuu Wewe umeiba Pesa ya mtu mwenyewe kashtuka basi akusamehe mrudishie yaishe kwani mpaka akuue Mkuu?
Wengine hata ukirudisha lazima akutoe mav.i for detterence, wengine wasimjaribu Imani kupitia alichokufanya wewe.
 
Ndiyo maana nimempatia series moja inaitwa the Gentlemen. Inaonyesha jinsi matajiri wanavyoishi na kuendesha biashara zao nje na vile jamii inavyojua.

Pia inaonyesha namna gani ukileta magumashi wanavyokupoteza bila kusita.

Kwenye biashara watu wanalinda jina/uamnifu na Kingdom yake. Huwezi ukaleta ujuaji kwenye kimojawapo halafu wakakuacha.

Mfano mzuri kipindi cha JK: Kampuni moja ya clearing and forwarding kwa ghafla tu ilikuwa juu kuliko kampuni nyengine. Walianzisha na ofisi yao China hivyo ikawa inawadaka wafanyabiashara wa Tanzania hukohuko na huku wana kampuni yao.

Matokeo kampuni nyengine zikawa zinakosa kazi na zinakufa. Kilochotokea Mkurugenzi mtendaji wa hiyo kampuni siku yupo Kariakoo kwa ghalfa mtu kamgusa nyuma kwenye bega. Ile kugeuka tu kamwagiwa tindikali usoni. Za chini chini zikawa zinasemwa kwamba wafanyabiashara wenzake waliona watakufa njaa haiwezekani mtu mmoja atawale biashara nzima wao watakula wapi!

Hivyo biashara zina umafia sana chini ya kapeti. Watu wapo serious na kazi zao. Watu wanachukua mikopo na wakati mwengine pesa wanazipata kwa njia zisizo halali halafu uzingue! Wanakupoteza.
Imenibidi nikaichek n noma ila mzee wa demu ni Mafia zaid pamoja ya kukaa jela. Ila yule billionaire wa 2.2billion akataka nunua jumba mara 2 ya Bei tena na marupurupu millions et million 400 ya usumbufu wakumwona
 
Back
Top Bottom