Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Ndiyo maana nimempatia series moja inaitwa the Gentlemen. Inaonyesha jinsi matajiri wanavyoishi na kuendesha biashara zao nje na vile jamii inavyojua.

Pia inaonyesha namna gani ukileta magumashi wanavyokupoteza bila kusita.

Kwenye biashara watu wanalinda jina/uamnifu na Kingdom yake. Huwezi ukaleta ujuaji kwenye kimojawapo halafu wakakuacha.

Mfano mzuri kipindi cha JK: Kampuni moja ya clearing and forwarding kwa ghafla tu ilikuwa juu kuliko kampuni nyengine. Walianzisha na ofisi yao China hivyo ikawa inawadaka wafanyabiashara wa Tanzania hukohuko na huku wana kampuni yao.

Matokeo kampuni nyengine zikawa zinakosa kazi na zinakufa. Kilochotokea Mkurugenzi mtendaji wa hiyo kampuni siku yupo Kariakoo kwa ghalfa mtu kamgusa nyuma kwenye bega. Ile kugeuka tu kamwagiwa tindikali usoni. Za chini chini zikawa zinasemwa kwamba wafanyabiashara wenzake waliona watakufa njaa haiwezekani mtu mmoja atawale biashara nzima wao watakula wapi!

Hivyo biashara zina umafia sana chini ya kapeti. Watu wapo serious na kazi zao. Watu wanachukua mikopo na wakati mwengine pesa wanazipata kwa njia zisizo halali halafu uzingue! Wanakupoteza.
Home shopping center wamesilimu sasa wanajiita ocean nini sijui na chawa wao Mwijaku.
 
Wewe Mimi nakuelewa vizuri 'Vishu Mtata' kuna siku tulijibizana kwenye ID nyingine nikaona isiwe tabu Wewe Jamaa ni Mbishi sana hata kwenye vitu visivyotaka kubisha unabisha haya Mimi nauliza maswali unanibishia kwamba nauliza kitoto sijui nini sasa km ni hivyo kwanini Wewe hauulizi na unataka kujua na nikiuliza nikajibiwa na Wewe unafaidika kwa Jibu nililopewa uzuri wa ninaemuuliza ni muelewa kwa hio anaelewa nauliza nini na nataka kujua nini Ila Wewe Mtata' unabisha hutaki niulize ninavyouliza sasa ndio nini Mkuu?
Nimekuelewa kijana, uliza maswali tani yako.
Ila nikushauri, usiwe na id's nyingi wewe ni wewe ishi kama wewe.
 
walivyopotea wale vijana watano nikaanza kuona watu wachadema na wanaharkt uchwara wanapga kelele nyingi ndio pale nilipojuq hivi vyama vya upinzani sometimes navyo miyeyusho tu..either hawako well informed au wanafanya t kwa maslahi yao.
.nawafaham wale vijana mmoja baada ya mwngne mpaka walipokua wanaish na shughuli zao zilikua nini.
kama walikufa mwenyez mungu awasamehe madhambi yao na awalaze mahala pema peponi mahome boyz.
Vyama pinzani hasa hao chadema nao ni wachumia tumbo tu, wanasubiri kitu kitokee wakishupalie ati nchi haiko salama na blah blah za namna hiyo.
 
Vishu tuheshimiane hii id una uhakika ni yake?? Kwahiyo wewe mtu akikutag sehemu basi id yake??
Emu acha hizo, mgombane wenyewe na huyo mtu wako msiniingize please
😂😂😂😂 Jf ina mambo, just few minutes after jamaa kula ban ndo unakuja kuniattack.

Muulize aliekutag mnajuani vipi 😂😂😂, sikutegemea hili we chalii miyeyusho sana aisee.
 
Back
Top Bottom