Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

😂😂😂😂 Jf ina mambo, just few minutes after jamaa kula ban ndo unakuja kuniattack.

Muulize aliekutag mnajuani vipi 😂😂😂, sikutegemea hili we chalii miyeyusho sana aisee.
Wala nimeona id imekuja kunilima mitusi huko pm ndio nafatilia nakutana na hizi mbanga zenu 😹😹😹
Kwani mlianzia wapi?? Kaja kunitukana nimemripoti, nimepewa matusi ya kilo mia huko pm.
 
Tamaa na kukosa uaminifu, unawaponza vijana wengi.
Kuna dogo alitumiwa pesa ya Body kit na androids Radio za Prado J150,Crown Athlete na Harrier. Akabadili line na kukata mawasiliano alitafutwa kimya kimya familia yao ikabidi imsaidie kulipa pesa na fidia.
 
Ndo ivo mkuu, anajitekenya na kucheka mwenyewe.

Kijana ana akili fupi kama mkia wa mbuzi, how comes ukajifanya mwanamke aisee.
Vishu nishakwambia mimi sio huyo mjinga naona hasira zako unataka kutafuta ligi zisizo na kichwa wala miguu.
Huyo kanitag sehemu nyingi, na kuna sehemu kanitukana ile comment imeripotiwa kapewa ban, kaja pm na id nyingine kunitukana.
Napitia ni member gani ndio namuona huyo mjinga mnazozana. Sasa hapo usichoelewa nini au na wewe unatafuta kiki za kishamba??
 
Vishu nishakwambia mimi sio huyo mjinga naona hasira zako unataka kutafuta ligi zisizo na kichwa wala miguu.
Huyo kanitag sehemu nyingi, na kuna sehemu kanitukana ile comment imeripotiwa kapewa ban, kaja pm na id nyingine kunitukana.
Napitia ni member gani ndio namuona huyo mjinga mnazozana. Sasa hapo usichoelewa nini au na wewe unatafuta kiki za kishamba??
Hivi wewe mwanamke sijui mwanaume uko sawa kweli?
Wapi nimetafuta ligi na wewe.

Nimeshaacha kureply comments zako unaanza kuchunguza nacomment nini uje kureply sio?

Hapo nimemjibu ndgu Tyrion_Lannister au umeona nimekutagi hapo??
Na hapo nimemuongelea huyo alopigwa ban maana alisema ana id ya kike, ajabu wewe unajistukia na kusema nataka ligi na wewe.

Idiot.
 
Hivi wewe mwanamke sijui mwanaume uko sawa kweli?
Wapi nimetafuta ligi na wewe.

Nimeshaacha kureply comments zako unaanza kuchunguza nacomment nini uje kureply sio?

Hapo nimemjibu ndgu Tyrion_Lannister au umeona nimekutagi hapo??
Na hapo nimemuongelea huyo alopigwa ban maana alisema ana id ya kike, ajabu wewe unajistukia na kusema nataka ligi na wewe.

Idiot.
Sipendi kunihusisha na mtu mwingine, sasa unachojikomentisha kunitaja kitu gani??
Kwahiyo ikitokea id ikakumention unakuwa ni wewe?? Idiot mwenyewe

Kaa kwenye nafasi yako, pambana na adui sio mimi.
 
Najuana naye una uhakika?? Huyo hata mimi alinitukana wakamripoti, akaja na id nyingine pm kunishushia matusi kwamba nimemripoti.
Sasa na wewe unavyoanza kushadadia unanikosea ujue
sishadadii tatzo toka mwanzo wa mjadala mpka ulipotagiwa nlkua nasoma najua A-mpka Z
 
Back
Top Bottom