Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Una umri gani?

Kama ni mtu mzima unajishughulisha na nini?
MIMI Nina umri wa mtu Mzima sana naweza nikawa nakuzidi au tunalingana kiumri kuhusu shughuli yangu hio sijajua unataka kufahamu kwanini na inahusiana nini na hii Mada lakini kwa kukusaidia ninafanya biashara pia za hapa na pale yaan in & out sio permanent hapo nadhani umenielewa sasa nijibu swali langu
 
MIMI Nina umri wa mtu Mzima sana naweza nikawa nakuzidi au tunalingana kiumri kuhusu shughuli yangu hio sijajua unataka kufahamu kwanini na inahusiana nini na hii Mada lakini kwa kukusaidia ninafanya biashara pia za hapa na pale yaan in & out sio permanent hapo nadhani umenielewa sasa nijibu swali langu
Jawabu la swali lako katizame series inayoitwa The Gentlemen. Netflix ipo utaipata kwa urahisi.

Majibu ya maswali yako yote yapo humo!
 
Kuna jamaa humu JF aliwahi sema kuwa kuna Warundii walikuwa wanamwagiza mizigo anawatumia kwenye mabasi,walikuwa wanawasiliana nae kwa njia ya WhatsApp sasa jamaa akaingia tamaa akala pesa za Warudi,kumbe jamaa wakawapigia madalali na kuwapa taarifa.Wakamdaka na kumpeleka mafichoni humohumo sokoni,tena anasema yaani pako kama selo vile.
Alichezea kichapo hadi kuna jamaa akamsaidia...
Kumbe story ni nyingi sana tamaa mbele Mauti nyuma
 
Unabowa sana, siyo lazima uchangie kila uzi hata usivyovijuwa.

Kariakoo kuna kijana anaitwa tajiri wa wiki mbili, aliaminika dukani watu wakamrubuni akaiba million 200.

Hizi pesa zote alizipata tajiri mwenye mali, kosa lake alifanya mawasiliano na mke wake wakamdaka, kwahiyo jamaa alimiliki million 200 za wizi kwa wiki mbili tu.

Jamaa amemsamehe na amempa million 5 za kuanzia maisha mapya nje yake tajiri yake.

Usiwe unakurupuka tu chai wakati hujui lolote.
Milionea wa wiki 2😀😀😀😀😀
 
Nimeshaona post kadhaa siku za nyuma vijana wa Kariakoo kupotea wakati nipo kwenye daladala ilibidi nimuulize jamaa mmoja kipindi cha nyuma kwanini vijana wa Kariakoo wanapotea sana, akasema Kariakoo kuna mambo mengi…aliishia hapo…

Ila kuna neno alisema kuna mchezo wa mali zinaibiwa mbali unapewa uuze, kuna mali kauli, cha msingi alikua anaongea mambo mengi.

Kama pia mnakumbuka wale vijana waliopotea wakati wa sherehe za eid wote ni vijana wa Kariakoo
View attachment 3034169
waliochochea migomo na wanaoongea vibaya kumhusu mtu fulani wanaanza kushughuliwa taratibu na wapumbavu
 
wapinzani bongo miyeyusho sana,wanafanya sometimes tunaona bora hawa majini wetu waliomadarakani..
nilishangaa sana kuona zile kelele nyingi vile nikasema hawa jamaa wanawafahm vizuri hawa watu wanaowapigia kelele wapatikane
Watu wenye mawazo kama yako wanasumbuliwa na ujinga. Huwezi kuwa na nchi yenye serikali inayoua watu kwa siri hata kama ni majambazi. Unajua madhara yake? Bila shaka hujui.
 
Yupo kama mtoto
Ndiyo maana nimempatia series moja inaitwa the Gentlemen. Inaonyesha jinsi matajiri wanavyoishi na kuendesha biashara zao nje na vile jamii inavyojua.

Pia inaonyesha namna gani ukileta magumashi wanavyokupoteza bila kusita.

Kwenye biashara watu wanalinda jina/uamnifu na Kingdom yake. Huwezi ukaleta ujuaji kwenye kimojawapo halafu wakakuacha.

Mfano mzuri kipindi cha JK: Kampuni moja ya clearing and forwarding kwa ghafla tu ilikuwa juu kuliko kampuni nyengine. Walianzisha na ofisi yao China hivyo ikawa inawadaka wafanyabiashara wa Tanzania hukohuko na huku wana kampuni yao.

Matokeo kampuni nyengine zikawa zinakosa kazi na zinakufa. Kilochotokea Mkurugenzi mtendaji wa hiyo kampuni siku yupo Kariakoo kwa ghalfa mtu kamgusa nyuma kwenye bega. Ile kugeuka tu kamwagiwa tindikali usoni. Za chini chini zikawa zinasemwa kwamba wafanyabiashara wenzake waliona watakufa njaa haiwezekani mtu mmoja atawale biashara nzima wao watakula wapi!

Hivyo biashara zina umafia sana chini ya kapeti. Watu wapo serious na kazi zao. Watu wanachukua mikopo na wakati mwengine pesa wanazipata kwa njia zisizo halali halafu uzingue! Wanakupoteza.
 
Back
Top Bottom