Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Kama inakuja inakata, kuna dogo kijijini kwetu alikuja huko Dsm nahisi kuuza hiyo mizigo ya matajiri, mwaka mmoja akarudi home na ukwasi, akajenga nyumba chap ndani ya week akaezeka. Week ya tatu akaanza kuumwa na kufa haraka haraka.

Tukazika tukasahau
Yaan emu elezea vizuri unazungumzia Dar IPI Mkuu hii hii Dar ya Alubati C?
 
Mkuu tulia kuna namna ya kuuliza maswali ili upewe full story sio nyinyi mnauliza maswali mnamix na matusi au hujaona Jamaa ananielewa na ananisimulia A to Z au hamtaki nijue nyie Jamaa ni watu wa ajabu sana, kila mtu ana namna yake ya kuuliza maswali sio lazima tufanane hujapenda namna yangu ya kuuliza maswali acha kusoma ninachokiandika
Rubbish 🚮
 
Wengi wanaochangia wamemung'unya sana maneno kiasi asiyejua kinachoendelea hapati clue ya yanayotokea,vijana wanaopotea Kariakoo ni upande wa vitu kama simu laptop na tv na vitu mfanano wa hivyo pamoja na spare za magari.

Mimi nafanya biashara ya spare za magari,nyuma miaka saba nikiuza used kwanza Kariakoo kisha Ilala kule Lindi St so nikizungumza kwa upande huo nawajua vijana pamoja na watu wazima 11 wamepotea toka 2022 hadi leo hawajulikani walipo wa mwisho kwa upande huu walipotea wawili kwa pamoja mwaka jana mwezi wa tano na wote miaka ya nyuma wakati nafanya used walikuwa wanajihusisha sana na kununua vitu vilovyokuwa vikiibiwa kwenye magari ya watu wenyewe wakiita ”full",yaani gari inavunjwa kioo wanatoa lock wanachukua kuanzia dashboard show p/window switch radio side mirrors headrest nje wanang’oa taa zote bumpers nyuma na mbele kama mmiliki alisahau chochote cha thamani wanabeba so hawa jamaa walikuwa wanakaa pale mnada wa spare ulioungua moto nyuma ya Big Born p/station.

Jamaa walikuwa wanakula na askari wa Msimbazi na Central wakati fulani Mambosasa akiwa mkuu wa police Dar akalivalia njuga kwa kuwapa kitu kama offer (maana walikuwa wanajulikana kote police Msimbazi Stakishari Central Mabatini kwamba ndiyo wanaodhamini biashara hiyo hata picha zao zilibandikwa kutani) kwamba kuanzia pale hawana kesi ila wakiri kuacha mara moja mchezo huo kwani option iliyokuwa ifanyike baada ya kudhihirika wanaendelea na kazi hiyo ni kupotezwa moja kwa moja na kwamba jeshi la polisi halitakuwa na muda wa kwenda kutoa maelezo mahakamani,kilichoendelea wanakijua wenyewe baadae walipovunja hicho kiapo ndiyo wakapotea.

Baada ya hii ambush ndiyo matokeo tunayoyaona sasa wizi ule umepungua kama siyo kuisha kabisa nadhani hata Agrey baada ya wale watano kupotezwa kuna mabadiliko.
Aisee
 
😂😂😂😂 Unatumia hisia eeeh.
Au hata jamaa anaetoa maelezo ni wewe mwenyewe, unajiuliza na kujijibu mwenyewe.
Vijana wa kizazi hiki mna mambo sana
Wewe Mimi nakuelewa vizuri 'Vishu Mtata' kuna siku tulijibizana kwenye ID nyingine nikaona isiwe tabu Wewe Jamaa ni Mbishi sana hata kwenye vitu visivyotaka kubisha unabisha haya Mimi nauliza maswali unanibishia kwamba nauliza kitoto sijui nini sasa km ni hivyo kwanini Wewe hauulizi na unataka kujua na nikiuliza nikajibiwa na Wewe unafaidika kwa Jibu nililopewa uzuri wa ninaemuuliza ni muelewa kwa hio anaelewa nauliza nini na nataka kujua nini Ila Wewe Mtata' unabisha hutaki niulize ninavyouliza sasa ndio nini Mkuu?
 
walivyopotea wale vijana watano nikaanza kuona watu wachadema na wanaharkt uchwara wanapga kelele nyingi ndio pale nilipojuq hivi vyama vya upinzani sometimes navyo miyeyusho tu..either hawako well informed au wanafanya t kwa maslahi yao.
.nawafaham wale vijana mmoja baada ya mwngne mpaka walipokua wanaish na shughuli zao zilikua nini.
kama walikufa mwenyez mungu awasamehe madhambi yao na awalaze mahala pema peponi mahome boyz.
 
boss, hapo ofisin kwako unahitaji kijana wa kukusaidia kuuza duka? kama unahitaji nko hapa kijana mchapakazi&mwaminifu.
Still Kuna maelfu ya vijana waaminifu kariakoo na viunga vyake..

Mfano Mimi leo nimemfuata bodaboda hatufahamiani ndio tumeonana first time nikampa mzigo kimfuko kina thamani ya 500k

Nikamuuliza ana charge Bei gani kuipeleka akasema 3000 Mimi nikampa. 5000

Tukabadilishana namba pia nikampa namba za anae pokea after few minutes ananipigia amepeleka tayar nikampigia jamaa anae pokea akasema amesha pokea..

Kariakoo licha ya kuwepo wizi,ujanja ujanja na utapeli Ila pia Kuna watu waaminifu SANAA
 
Kama inakuja inakata, kuna dogo kijijini kwetu alikuja huko Dsm nahisi kuuza hiyo mizigo ya matajiri, mwaka mmoja akarudi home na ukwasi, akajenga nyumba chap ndani ya week akaezeka. Week ya tatu akaanza kuumwa na kufa haraka haraka.

Tukazika tukasahau
Sasa hapo hujaelewa nini? Hakuna maisha rahisi ya kupata pesa kwa mwaka mmoja, watu wanajenga nyumba baada ya miaka 40, kwa mwaka mmoja pesa umepata wapi? Kwa biashara ipi?
 
Mkuu hapo hapo low profile elezea kidogo inakuaje kuaje km una experience ya mmoja wapo aliefanya hivyo yaan alikomba mamillion ya tajiri akakimbia akakaa low profile na mpaka leo hajakamatwa?
Unazinguwa siyo siri, mtu uzi akiona umeenda page nyingi anapata hata uvivu kufuatilia kumbe kuna mjinga mmoja karibu page tano zimejaa useless post zako.

Unashusha quality ya JF.
 
walivyopotea wale vijana watano nikaanza kuona watu wachadema na wanaharkt uchwara wanapga kelele nyingi ndio pale nilipojuq hivi vyama vya upinzani sometimes navyo miyeyusho tu..either hawako well informed au wanafanya t kwa maslahi yao.
.nawafaham wale vijana mmoja baada ya mwngne mpaka walipokua wanaish na shughuli zao zilikua nini.
kama walikufa mwenyez mungu awasamehe madhambi yao na awalaze mahala pema peponi mahome boyz.
BOngo hakuna upinzani Ccm watatuongoza mpaka papatikane wapinzani wa kweli! Wapinzani wetu wao ni kupinga serekali tu! Hata mm nikiamka sasahivi nikaitukana serekali watanitetea na ntakua Shujaa nikipotea ntaongezeka kama hoja kwenye mabishano majukwaani! Ila kuanzisha Hoja za msingi aaah
Watu kama hao wakipotea utasikia oh haki za binaadamu maisha haya unafiki sana mkuu
 
Back
Top Bottom