The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Nachelea kusema ni watu wa Kariakoo kwa maana kwamba wezi wa magari mazima mazima huwa hawaji-specify kutokana na maeneo wanakotoka wengi huwa ni madalali yaani anakuuzia gari Dar then anauza ramani kwa wezi wanakuibia kisha wanaenda kuiuza tena Sumbawanga.Mkuu hii ni very interesting story sijawahi kusimuliwa popote kuhusu habari km hizi kwa kweli umenilisha UBONGO, kwa hio sasa hivi wamebakiza Wizi wa kupasua vioo Ila hapa Juzi Juzi kuna Dogo alifungua uzi humu humu analalamika kaibiwa IST yake na hii inakuaje mkuu emu funguka kidogo ni wa Kariakoo ndio wanapiga hizo deal za kuiba mpaka Magari ya watu au ni wa sehemu zingine?
Watu huwa wanasema kwa kuhisi (wakati fulani makonda akiwa mkuu wa mkoa hapa Dar) akawa anasema kwamba eti watu wananunua magari ya wizi wanayakata wanauza spare,mfano IST show room currently price ipo juu ya 10+mill so tu-assume mwizi atataka umpe 7mil na wewe uikate kate kibiashara haitakulipa labda uinunue 3mill na hakuna mwizi atakuuzia bei hiyo wakati wapo wakumpa hela nzuri so magari yanayoibiwa tunapishana nayo humu mjini au yapo mikoani huko ila kusema yameuzwa Kariakoo au popote pale ili yakatwe vitu viuzwe kama spare used ni uwongo.