Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Yaan ukiimwambia hivyo tu anakulipa chap chaplazima alipe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan ukiimwambia hivyo tu anakulipa chap chaplazima alipe
Kwann watoweke watu wa kariakoo tyWatu wanapelekwa ughaibuni na kuuzwa huko kwa makusudi mbalimbali ikiwepo utumwa, kupata figo na hata kutolewa kafara.
Madogo wanazungua sana. Wanaforce maisha.Yes wanapewa mali kauli wanavimba nazo, wanawekwa madukani wanaiba store,
Na kutapeli watu in the name of maduka fulani, unashangaa tu unasakwa haujui hata imekuwaje.
Mkuu emu elezea vizuri hapo umeacha ombwe kidogo umesema wanapewa Mali kauli alafu wanaweka dukani alafu wanaibia store? Sijaelewa emu tueleze vizuriYes wanapewa mali kauli wanavimba nazo, wanawekwa madukani wanaiba store,
Na kutapeli watu in the name of maduka fulani, unashangaa tu unasakwa haujui hata imekuwaje.
Kuna yule aliyemdhuruma Salah (ambae ni mdogo ake GSM) 400 million. Yaliyomkuta si madogo.Kuna Jamaa yangu alijifanya ni mtu wa Clearning and forwarding akachukua kimtego hela ya mmoja za wadogo zake Mfadhili wa Yanga. Kilichomkuta 🤣🤣🤣
Tena jamaa wanakuaga na waganga wa huko chimbo kabisa, kipindi anarudi mjini wabaya mkimuona anakua na sura ya mtu mwingine kabisa😀😀wengine hadi majina wanabadilishaMnajua mnawaza kapotezwa kumbe kamkimbia bosss yupo katoro uko anabadili waganga
Elezea madogo wanazinguaje Mkuu mpaka wanapotezwaMadogo wanazungua sana. Wanaforce maisha.
Wazee wa crown na duka la i Phone 3 cover za simu 10 wauzaji 9 ,Wazee wa kusukuma ndiga kali... hata wale wanao okotwa kwenye viroba ni vijana wa madili machafu..
Duuuh crown, duka la iPhone 3, cover za Simu 10 na wauzaji 10, hii code ngumu sana inahitaji mtu mwenye GPA ya 8 Sisi tulioishia GPA ya 5 huu ni mtitiWazee wa crown na duka la i Phone 3 cover za simu 10 wauzaji 9 ,
Mkuu unaweza kueleza huu mkasa Kwa ufupi, Kwa faida ya tusiofahamuKuna yule aliyemdhuruma Salah (ambae ni mdogo ake GSM) 400 million. Yaliyomkuta si madogo.
Yaani pale Kariakoo Luku imewafanyaje vijana?Haya ya luku mmeyaona ndugu zangu
Ahahaha mkuu acha tuu we fatilia uje uone mamboYaani pale Kariakoo Luku imewafanyaje vijana?
Itakua DECAChuo gani HICHO kina kinafika GPA ya 7 wakati GPA ya juu ni 5?
Ana maanisha una kuta Duka zima lina simu 3 na cover za simu 15 lakini ndani kuna vijana wauzaji zaidi ya watano na wana miliki crown ..hawa wengi wapo Sinza au makumbusho..nakaribia kupewa u doctor kama alio pewa chief hangaya wa GPA ya 9Duuuh crown, duka la iPhone 3, cover za Simu 10 na wauzaji 10, hii code ngumu sana inahitaji mtu mwenye GPA ya 8 Sisi tulioishia GPA ya 5 huu ni mtiti
Wanaaminiwa wanapewa mali za mamilioni wakauze walete hela. Wao wanajidai wajanja hawarudishi hela za watu.Elezea madogo wanazinguaje Mkuu mpaka wanapotezwa
Duuuh kumbe wanawaibia madoni wa Kariakoo ebwana hio ni hatari zaidi Mkuu, kwa hio Pesa wanapeleka wapi sasa wakibanwa si watoe kwani mpaka wafe?Wanaaminiwa wanapewa mali za mamilioni wakauze walete hela. Wao wanajidai wajanja hawarudishi hela za watu.
Wengine ndio anawekwa dukani anauza mzigo wote store hela haionekani.
Waibe huku huku instagram anaiba kisimu au ki tv kimoja watu wanapotezea ukiibia madon mamilioni yao wanakutoa roho.
Wanakua washatumia...Duuuh kumbe wanawaibia madoni wa Kariakoo ebwana hio ni hatari zaidi Mkuu, kwa hio Pesa wanapeleka wapi sasa wakibanwa si watoe kwani mpaka wafe?
Hio sijaona mkuu sasa wakibanwa si warudishe Pesa za watu kwani ni mpaka wafe hivyo Mkuu Wewe umeiba Pesa ya mtu mwenyewe kashtuka basi akusamehe mrudishie yaishe kwani mpaka akuue Mkuu?Wanakua washatumia...
Ujawahi pata story ya yule dogo aliyevutwa dudu ofisini kisa kucheza na pesa za watu