Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Mkuu tuongezee nyama kidogo hapo usitunyime maneno tupe hizo ABC za hapo KariakooAchana nae huyo asi kuumize kichwa sisi tunao shinda kariakoo 24/7/365 tunajua ni wakupuuzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tuongezee nyama kidogo hapo usitunyime maneno tupe hizo ABC za hapo KariakooAchana nae huyo asi kuumize kichwa sisi tunao shinda kariakoo 24/7/365 tunajua ni wakupuuzwa
Unabowa sana, siyo lazima uchangie kila uzi hata usivyovijuwa.Chai
Hii nayo stori ya kusadikika ,kwa kifupi na hii pia ni CHAI.Unabowa sana, siyo lazima uchangie kila uzi hata usivyovijuwa.
Kariakoo kuna kijana anaitwa tajiri wa wiki mbili, aliaminika dukani watu wakamrubuni akaiba million 200.
Hizi pesa zote alizipata tajiri mwenye mali, kosa lake alifanya mawasiliano na mke wake wakamdaka, kwahiyo jamaa alimiliki million 200 za wizi kwa wiki mbili tu.
Jamaa amemsamehe na amempa million 5 za kuanzia maisha mapya nje yake tajiri yake.
Usiwe unakurupuka tu chai wakati hujui lolote.
Hao watakuwa matajiri wahuni au mafia.Hakuna tajiri asiye kuwa na connection na magenge ya wahuni
Hao watakuwa matajiri wahuni au mafia.
Na ndiyo maana hata maduka ya spare used pale Kariakoo yamehamia Ilala wengine tumebadilika kuingia kwenye spea mpya kwa sababu wakati huo ilikuwa mtu akishaibiwa anaambiwa nenda Kariakoo ndiko wanakouza spare za wizi (wakimaanisha hapo kwenye mnada wa spare) na siyo kila mtu alikuwa anapajua so anajikuta ameingia Kariakoo lakini hajui aanzie wapi.Duuuh kwa hio walikua na faida kwenu pia
Hao ni wahuni waliojipatia Utajiri kwa njia haramuBila uhuni utawezaje kuwa tajiri?
Utajiri ni package
Ila za chini chini jamaa anasema anawajuaKuna baadhi ya kesi huwa na mkono wa serikali japo wahusika huwa ni wale topper wa vitengo fulani ili kujisafisha wasionekane hawafanyi kazi,udhaifu wa sheria au kuwa na adhabu ndogo huwapa mtihani polisi maana nakamatwa leo nimeiba nikifika mahakamani mahakama inaniona sina hatia nikirudi mtaani naendelea kuiba so mazingira kama haya hukiweka kiti cha mtu mashakani that's why kamati ya siri huingia kazini.
Mijini kuna mambo mengi but tukiangalia mfano wale wanaopotea zaidi ya watatu na wanapiga mishe moja inayojulikana kwamba sometimes kuna ujanja ujanja hufanyika yumkini inawezekana wote wamemdhumu mtu?au wote wametembea na wake za watu then kama siyo kwanini wapotee siku moja muda mmoja kwa kuchukuliwa pamoja?
Hao ni wahuni waliojipatia Utajiri kwa njia haramu
Sio kweliHakuna tajiri duniani bila kutumia njia haramu. Huyo tajiri hayupo
Sio kweli
Naheshimu maoni yako mkuu...ila sikubaliani nayo asilimia zote.Hatuzungumziii pesa madafu Mkuu.
Utajiri ni kama utawala. Na utawala ni kama sarafu yenye pande mbili.
Huwezi ukawa tajiri bila kufanya mafekeche.
Sikiliza online ya HAKI TV. Msitu wa Kongowe Kibaha umekuwa ni jalala la kutupa maiti. Wkazi wanalalamika kuwa kila baada ya siku chache gari linaingiza maiti na wote ni vijana. Polisi wakiambiwa wanawaambia wanakijiji zikeni wenyewe.Duh sijaelewa.
Naheshimu maoni yako mkuu...ila sikubaliani nayo asilimia zote.
Watu wanapelekwa ughaibuni na kuuzwa huko kwa makusudi mbalimbali ikiwepo utumwa, kupata figo na hata kutolewa kafara.Kivipi mkuu embu fafanua
Maana wengine sisi ndo SI unit kwenye biashara zetu ni k.koo
We kengeOyaa hao mbusii sisini.
HahahaWe kenge
lazima alipeAlafu anajibu nini ukimuuliza hivyo?