Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
aisee kumbe mambo ni mengiKuna wengine wanawatapeli wachina.
Wanapewa mzigo kwa mali kauli kutoka china alafu wao kazi yao ni kuwarejeshea sehemu ndogo ya faida.
Lakini hawafanyi hivyo
Sasa uliona wapi tajiri asiye na genge la wahuni?
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app