ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Una maswali ya kijinga sana,yaani mtu America,uanze kufuatilia na pesa alizoiba kapeleka wapi?Duuuh kumbe wanawaibia madoni wa Kariakoo ebwana hio ni hatari zaidi Mkuu, kwa hio Pesa wanapeleka wapi sasa wakibanwa si watoe kwani mpaka wafe?
Pesa si kila mtu ana matumizi yake?
Rejea maswali uliyokua unauliza juu,yaani ya kipumbavupumbavu,au we ni litoto liningalijinga?
Unaboa sana.