Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Nilivyoelewa;Duh sijaelewa
1. Mali za wizi-mali zinaibiwa eneo moja kuja kuuzwa Kariakoo and verse versa
2. Dhuruma-kutokana na mali kauli au vinginevyo
MATOKEO YAKE
urejeshaji wa visasi na kukomoana kwa mitindo mbalimbali ikiwa ni pamoja na utekaji hatimaye kudhurumu uhai wa wahusika, kwa kifupi sheria mkononi ndicho kitu kinafanywa kwa asilimia kubwa!!