Pre GE2025 Vijana kumchukulia Fomu ya Urais Rais Samia 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mmeshaongea na Mungu kwamba mama ataiona kesho?

Uchawa unazidi mpaka mnakuwa kama makahaba.
Rais samia ni mpango wa Mungu mwenyewe na uweza wake Mwenyewe Mungu atamlinda Rais wetu na kumpatia afya njema na nguvu ya kuendelea kututumikia watanzania wote mpaka 2030
 
Sasa huwa unatafuta nini siku nzima kupigia debe mtu kama hutafuti ulaji,acha kutufanya watoto bwana
Sasa hata jinsi ya kutafuta ulaji kwenyewe hajui.

Ccm kupitia Jitegemee holdings company Ltd inamiliki migodi mikubwa ya coal mining huko mikoa ya kusini, kama yeye wa maana si aombe wampe hata kazi ya udereva mshahara laki nane kwa mwezi?

Hiki anachokifanya hapa ni bora hata ya demu aliyekosa ramani anayeuza K yake.
 
Rais samia ni mpango wa Mungu mwenyewe na uweza wake Mwenyewe Mungu atamlinda Rais wetu na kumpatia afya njema na nguvu ya kuendelea kututumikia watanzania wote mpaka 2030
Wewe unapayuka wenzako wanakula utamu wa Ccm migodini uko.

Fainali uzeeni, wewe endelea na ututsa tu hapa JF uone utakufikisha wapi.

Hao Green guard wenu ukiona uwaoni ujuwe wanakula shavu kulinda kwenye migodi ya Ccm mshahara mzuri kula kulala bure.

Wewe endelea kukatika mauno tu hapa JF wenzako SAA hizi wapo Instagram wanaselect warembo wazuri kwa pesa ya matunda ya Ccm.
 
Hata angeitwa shetani wa mashetani haiondoi ukweli kwamba huyu ndiye rais kilaza zaidi kuwahi kutokea
 
kama na yeye anatamani sawa lakini kama antaka kujenga legacy asichukue form2025 kwake ni mbali sana ameifungua Nchi lakini hana uwezo wa kudhibiti kila takataka imeingie leo rushwa ni aibu , utoroshaji wa nyala na fedha za nchi umekithili wizi na unyanganyi umeongezeka anakusanya kwenye makapu yanayovuja ingekuwa kheri pale alipofika aridhike na hapo itamjengea heshima sana, hao chawa (vijana) wanaweza wasihimili vishindo vya 2025, nafuu akimwandaa mapema mtu atakaye toka upande wake kuliko kusubili aingie atakaye mtesa yeye na watu wake. na kuifuta historia yake. Mama sisi tunakuombea kama ilivyo wajibu wetu, lakini akili za kupewa ongeza za kwako
 
Rais samia ni mpango wa Mungu mwenyewe na uweza wake Mwenyewe Mungu atamlinda Rais wetu na kumpatia afya njema na nguvu ya kuendelea kututumikia watanzania wote mpaka 2030
Hili taifa likiwa na robo ya vijana wa ajabu aina yako, miaka kumi tu inatosha kuliangamiza. Ni aibu kwa kijana kama wewe kushabikia bila kuangalia changamoto zinazolikabili taifa na aina ya uongozi tulionao. Wewe kutwa kucha ni kusifia tu hata pale panapoitaji kukosoa ili kuonyesha njia.
 
Mimi sisifii Bali naongea ukweli japo ni mchungu kwa baadhi ya watu aina yako.
 
Acha uongo wako hapa .Rais samia imeiweka nchi katika msitari ulionyooka .nchi ina tabasamu, furaha, matumaini na inapiga hatua za kimaendeleo kwa kasi ya mwanga. Rushwa imedhibitiwa na inaendelea kudhibitiwa kwa yeyote atakayebainika kujihusisha na Vitendo vya rushwa na ufisadi.

Uwezo wa Rais samia kiongozi ni mkubwa sana na ndio maana kwa maono yake makubwa,upeo wake mkubwa ,akili yake kubwa tumeweza kama nchi kujenga uchumi imara unaomgusa kila mtanzania.
 
Kumbe ni wewe dubwasha nimesahau nikasoma mavi yako ngoja nikanawe na perfume nyingi!
 
Unaongelea mambo ya 2025 Kama vile unamamlaka ya kujua kitakachotokea. Kikwete alisema mambo yakiharibika Sana Samiah anaweza asigombee.
 
Unaongelea mambo ya 2025 Kama vile unamamlaka ya kujua kitakachotokea. Kikwete alisema mambo yakiharibika Sana Samiah anaweza asigombee.
Taifa lipo salama na linaendelea kusonga mbele kwa kasi ya mshale katika maendeleo.
 
Unaongelea mambo ya 2025 Kama vile unamamlaka ya kujua kitakachotokea. Kikwete alisema mambo yakiharibika Sana Samiah anaweza asigombee.
Taifa lipo salama na linaendelea kusonga mbele kwa kasi ya mshale katika maendeleo.
 
Taifa lipo salama na linaendelea kusonga mbele kwa kasi ya mshale katika maendeleo.
Kikwete hakuongelea vita vya bunduki kaka, kinachoongelewa ni kuchafuka hali ya hewa kisiasa na kutokukubalika kwa Samia, kitu ambacho obviously kinaonekana wazi ndani ya CCM. Huwezi kuona kwasababu wewe ni mgojwa. Hata gogo likipewa urais kwa tabia yako hii ya kujipendekeza na lenyewe utalimwagia sifa.
 
Usisifie mpaka unapitiliza maana unayempa sifa anaweza kudhani unamchora tu! Sasa Samia anakuaje mwamba wa Africa. Samia ameokota tu dodo kwenye mti wa papai basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…