Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee
Usipotoshe watu ni miaka 12 tuu unavuna,nakumbuka kipindi nipo Moro nilipewa hilo dili ndio hivyo sikuwa na mshiko,ss hivi ni mwaka wa 7 toka nipewe hilo dili je ningezingatia ingekuwaje,kwa kifupi hio miti ndio inatumika kutengeneza ma boat ya kifahari huko ulaya,mbao yake ina uwezo wa kukaa kwenye maji miaka 99 bila kuharibika
 

Tofaut na mikoa iyo inaeza ikalimika!??
Mm nataka nikaiweke mkoa w lindi vp inaezekana?!??!....
 
Duh Kuna watu wanamoyo sana.
Kusubiria mazao kwa muda wa miaka 20 si unavuna na kuuza wakati huo umeshazeeka!
Sasa sijaelewa ktk miaka hyo 20 yote unakuwa unalihudumia shamba au ukishaotesha tu ndio basi inakuwa yenyewe?
 



😊😊😊ficha ujinga wako mkuu..mbegu ni bure..jitahidi uwe unatafta maarifa....muone!
 
Vipi kuhusu maji? au mvua mmoja tu kama ya masika inatosha kuotesha, ama kuna ulazima wa kuwa na machine ya maji kwa ajili ya umwagiliaji kipindi cha ukuwaji wa miti?


Haiihiatj kùmwagilia.unashauriwa upande kipindi cha mvua
 
Duh Kuna watu wanamoyo sana.
Kusubiria mazao kwa muda wa miaka 20 si unavuna na kuuza wakati huo umeshazeeka!
Sasa sijaelewa ktk miaka hyo 20 yote unakuwa unalihudumia shamba au ukishaotesha tu ndio basi inakuwa yenyewe?


Hahaha ww una kila dalili ya ubinafsi..mzee wangu ana 76..lakini amepanda hekari na hekari ..automatic anatupandia sisi na watoro wetu ..thouugh 7/8yrs sio mbal
 
😊😊😊ficha ujinga wako mkuu..mbegu ni bure..jitahidi uwe unatafta maarifa....muone!
Sawa mkuu. Ujinga ni sehemu ya kujifunza.
Basi fuatilia na ukweli kuhusu muda wa kuvuna uje utupe elimu mimi na wote tusio kuwa na taarifa sahihi.
 
Sawa mkuu. Ujinga ni sehemu ya kujifunza.
Basi fuatilia na ukweli kuhusu muda wa kuvuna uje utupe elimu mimi na wote tusio kuwa na taarifa sahihi.


Had nikaleta huku mkuu nimetembea kweli kweli
 

Aseee!! Mefatilia mjadala huu kwa kina nakuelewa kinaga ubaga! Kumb ni ukanda wa bahari inakua vizuri...
 
Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee

..upo sahihi! Mitiki ukivuna mapema sana no 30yrs . Lkn sii mradi wa kuacha maana Kazi Kubwa ni kweli ni ya miaka 3-4 ya mwanzo baada ya hapo gharama za utunzaji zinapungua sana maana haifi hata kwa Moto!
 
Haswaaaa, huo ndio mpango sahizi huku ulanga, kuna maeneo yapo kati ya Lupiro (home) na Mahenge zinauzwa hekari za kumwaga tena bei chee sio za hao KVTC, ila ishu ipo kwenye kuzifanyia ngonga (kusafisha) hizo hekari coz sio mbuga, ni msitu. Ila all in all hii investment inalipa sana nawashauri vijana wafuatilie kiutaalamu jinsi ya kuinvest na unafaikaji then waingie sababu muda ndio huu.
 
Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee
Sio kweli, huku Ulanga mitiki kwenye kampuni ya KVTC imeanza kuvunwa around 2013 na mchakato wa kupanda hiyo miti ulianzaga like 1992 so you can get the difference
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…