Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Vijana mkimaliza chuo tafuta kazi kabla ya kuanzisha biashara,
Utafiti unaonyesha biashara mpya zinafeli ndani ya miaka 2 tu kwahiyo vijana mnaomaliza vyuo wakati mwingine ni kheri kwanza ukatafuta kazi kuliko kukimbilia biashara maana wengi wao wanakuwa awajakomaa kwenye eneo hilo na kuna wakati wanaishia tu kuomba ushauri wa mawazo bila mafanikio na kufikia kuwa na msongo wa mawazo baada ya biashara yao kufeli.
Na unaweza kufanya kazi na baadae ukaanzisha biashara na ukaweza kuiendesha hata kupitia mtandao maana siku hizi teknolojia imekuwa kubwa sana kwahiyo hiyo milioni 5 au 10 uliyokuwa nao itunze na kuiongezea na kundelea kujifunza zaidi
Utafiti unaonyesha biashara mpya zinafeli ndani ya miaka 2 tu kwahiyo vijana mnaomaliza vyuo wakati mwingine ni kheri kwanza ukatafuta kazi kuliko kukimbilia biashara maana wengi wao wanakuwa awajakomaa kwenye eneo hilo na kuna wakati wanaishia tu kuomba ushauri wa mawazo bila mafanikio na kufikia kuwa na msongo wa mawazo baada ya biashara yao kufeli.
Na unaweza kufanya kazi na baadae ukaanzisha biashara na ukaweza kuiendesha hata kupitia mtandao maana siku hizi teknolojia imekuwa kubwa sana kwahiyo hiyo milioni 5 au 10 uliyokuwa nao itunze na kuiongezea na kundelea kujifunza zaidi