Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bikira zipo japo zimekua adimuNapokea ushauri wako mzee lakini kwa sharti hilo la kuoa bikra ni sawa na kusema vijana msioe maana bikra hamna wote wamekua malayer kinoma.
ukimegewa kwanza unaanza kujiona upo level za chini kushinda kitu chochoteUmeandika kwa HASIRA SANA
Umemtaja hadi Jina mwana.
Word...Jaribu kuelewa kwamba watu wanabadilika sana, hakuna kigezo cha kumjua mtu kikamilifu.
Usikariri kwamba mtu akiwa namna flani atakuwa vizuri/vibaya kwenye kitu fulani. Sihitaji kukupa mifano una miaka 60 lazima utakuwa na uelewa.
Illusion of control ni mbaya sana.
Noma mkuu maumivu hayana mfanoukimegewa kwanza unaanza kujiona upo level za chini kushinda kitu chochote
Unajichanganya sasa unaposema tabia njema hujengeka moyoni na kadiri anavyolelewa na kwamba haihusiani na bikira.Tabia njema na uaminifu wa mtu hujengeka moyoni mwake, nafsini mwake na maishani mwake kadri anavyolelewa vema. Haiko kwenye uke uliotunzwa.
Hata ambao unaona hawana bikira kumbuka kuwa walikuwa nayo kabla ya kutoka. Pia tukumbuke bikira haitolewi kwa ngono tu. Inatoka kwa kubakwa, kuendesha baiskeli, kutanuka au kupasuka msamba, kuteleza vibaya, nk.
UBARIKIWE SANA NA MUNGU ATAKUONGOZA KATIKA MEMAMzee wangu kwanza hongera kwa kufikisha umri huo. Pili acha nikupe kongole kwa busara zako katika mada husika. Tatu umenifanya nianze kukufuatilia humu jf (si kwa ubaya, kwa lengo la kujifunza zaidi kutoka kwako).
Uishi sana Mzee wangu, huu uzi wako nitaufanyia kazi.
mimi nafanya booking ya huyo ajae utakaemtafuta huyo mfanyakazi hope atakuwa bikra😂🤣😅Nimekaa na mabinti wengi hapa kwangu, wengi wameolewa
Uko sahihi hasa hao wenye bikra wakitambua thamani yake. Nimekaa na ma binti wa kazi wengi wao wameolewa, na wasasa nae kapata mchumba ameshanitaarifu niweze mtafuta mwingine. Alifika tu baada ya kumaliza la saba, kapata mchumba anatoa mahari.
My take: vijana wanapata kigugumizi cha kuoa wakishaona binti kapitiwa na watu wasiojulikana ila wakijua ni bikra vijana serious wanatangaza ndoa. Mabinti zangu jitunzeni waoaji wapo!!
Soma vizuri na kwa makini. Niliandika bikira haitolewi kwa ngono tu!Unajichanganya sasa unaposema tabia njema hujengeka moyoni na kadiri anavyolelewa na kwamba haihusiani na bikira.
SASA KAMA BINTI KALELEWA VEMA NA KUJENGEKA KIIMANI MOYONI IWEJE TENA AFANYE NGONO KABLA YA NDOA. NADHANI BINTI ALIYELELEWA VEMA ATAJUA UMUHIMU WA KUTUNZA USICHANA WAKE.
NYIE NDIO WALE WAKRISTO MNAOVAA VIMINI KANISANI HALAFU MNADAI KUWA MUNGU HAANGALII MAMBO YA MWILINI BALI HUANGALIA YA ROHONI
Suala ni mwanamke anayejitunza hadi kuolewa. Hiyo ya kusema bikira imetolewa kwa kuendesha baiskeli ni mambo mengine kwanza binafsi siamini huo utetezi.Soma vizuri na kwa makini. Niliandika bikira haitolewi kwa ngono tu!
Ndgu yangu usiseme hamna bikra,bikra zipo na Mungu sio mpumbavu kiasi hicho,kwamba afanye idadi ya wanawake kua kubwa kisha bikra ziishe.....Napokea ushauri wako mzee lakini kwa sharti hilo la kuoa bikra ni sawa na kusema vijana msioe maana bikra hamna wote wamekua malayer kinoma.
Karibu sana ila huwa wanakuja wadogo hukulia hapa, nipo somehow strict ila huwa nawapa ukweli, wa nini kitawatokea endapo watatawanya mapaja yao, nahisi huwa wananisikilizamimi nafanya booking ya huyo ajae utakaemtafuta huyo mfanyakazi hope atakuwa bikra😂🤣😅
This level of cooking>>>>>>Mimi ni mzee naingia miaka 60 October . Nimeona mengi katika familia na ndoa za watu. Ukioa mwanamke ambaye alishaharibu USICHANA wake ni kama umeoa laana. Lakini ukioa mwanamke aliyejitunza usichana wake tangu kuzaliwa ni kama UMEOA BARAKA.
Nina mengi ya kuwaeleza katika hili lakini itoshe tu kujua hayo.
Ndoa zote zenye migogoro ukifuatilia background ya mwanamke utaona alishatumika kabla ya kupata wa kumuoa. Na wengi ibillisi huweka makazi kwao.