Vijana mkitaka furaha ya maisha oa mke BIKIRA

Vijana mkitaka furaha ya maisha oa mke BIKIRA

Napokea ushauri wako mzee lakini kwa sharti hilo la kuoa bikra ni sawa na kusema vijana msioe maana bikra hamna wote wamekua malayer kinoma.
Bikira zipo japo zimekua adimu
 
Jaribu kuelewa kwamba watu wanabadilika sana, hakuna kigezo cha kumjua mtu kikamilifu.

Usikariri kwamba mtu akiwa namna flani atakuwa vizuri/vibaya kwenye kitu fulani. Sihitaji kukupa mifano una miaka 60 lazima utakuwa na uelewa.

Illusion of control ni mbaya sana.
Word...
 
Tabia njema na uaminifu wa mtu hujengeka moyoni mwake, nafsini mwake na maishani mwake kadri anavyolelewa vema. Haiko kwenye uke uliotunzwa.

Hata ambao unaona hawana bikira kumbuka kuwa walikuwa nayo kabla ya kutoka. Pia tukumbuke bikira haitolewi kwa ngono tu. Inatoka kwa kubakwa, kuendesha baiskeli, kutanuka au kupasuka msamba, kuteleza vibaya, nk.
Unajichanganya sasa unaposema tabia njema hujengeka moyoni na kadiri anavyolelewa na kwamba haihusiani na bikira.

SASA KAMA BINTI KALELEWA VEMA NA KUJENGEKA KIIMANI MOYONI IWEJE TENA AFANYE NGONO KABLA YA NDOA. NADHANI BINTI ALIYELELEWA VEMA ATAJUA UMUHIMU WA KUTUNZA USICHANA WAKE.

NYIE NDIO WALE WAKRISTO MNAOVAA VIMINI KANISANI HALAFU MNADAI KUWA MUNGU HAANGALII MAMBO YA MWILINI BALI HUANGALIA YA ROHONI
 
Mzee wangu kwanza hongera kwa kufikisha umri huo. Pili acha nikupe kongole kwa busara zako katika mada husika. Tatu umenifanya nianze kukufuatilia humu jf (si kwa ubaya, kwa lengo la kujifunza zaidi kutoka kwako).


Uishi sana Mzee wangu, huu uzi wako nitaufanyia kazi.
UBARIKIWE SANA NA MUNGU ATAKUONGOZA KATIKA MEMA
 
Hata vitabu vya dini vimeyaongelea sana haya. Kwenye maandiko kila alipozungumziwa kijana wakati anakwenda kutafuta binti wa kumuoa tunaambiwa ALIMPATA FULANI AMBAYE HAKUWAHI KUMJUA MWANAUME(BIKIRA).

Bahati mbaya sana watumishi wa nyumba za ibada wanaujua ukweli lakini hawayazungumzii haya nadhani HAWATAKI KUWAKWAZA WATU WAO KWASABABU DUNIA YA LEO WENGI WAMESHATUMIKA KABLA NA WENGI WANAOINGIA IBADANI WALIOLEWA TAYARI WALISHANGOKA KABLA, NA HATA WATUMISHI WENGI WAMEOA USED. Ndio maana hushikilia kwamba Mungu haangalii ya rohoni.
 
Nimekaa na mabinti wengi hapa kwangu, wengi wameolewa

Uko sahihi hasa hao wenye bikra wakitambua thamani yake. Nimekaa na ma binti wa kazi wengi wao wameolewa, na wasasa nae kapata mchumba ameshanitaarifu niweze mtafuta mwingine. Alifika tu baada ya kumaliza la saba, kapata mchumba anatoa mahari.
My take: vijana wanapata kigugumizi cha kuoa wakishaona binti kapitiwa na watu wasiojulikana ila wakijua ni bikra vijana serious wanatangaza ndoa. Mabinti zangu jitunzeni waoaji wapo!!
mimi nafanya booking ya huyo ajae utakaemtafuta huyo mfanyakazi hope atakuwa bikra😂🤣😅
 
Unajichanganya sasa unaposema tabia njema hujengeka moyoni na kadiri anavyolelewa na kwamba haihusiani na bikira.

SASA KAMA BINTI KALELEWA VEMA NA KUJENGEKA KIIMANI MOYONI IWEJE TENA AFANYE NGONO KABLA YA NDOA. NADHANI BINTI ALIYELELEWA VEMA ATAJUA UMUHIMU WA KUTUNZA USICHANA WAKE.

NYIE NDIO WALE WAKRISTO MNAOVAA VIMINI KANISANI HALAFU MNADAI KUWA MUNGU HAANGALII MAMBO YA MWILINI BALI HUANGALIA YA ROHONI
Soma vizuri na kwa makini. Niliandika bikira haitolewi kwa ngono tu!
 
Soma vizuri na kwa makini. Niliandika bikira haitolewi kwa ngono tu!
Suala ni mwanamke anayejitunza hadi kuolewa. Hiyo ya kusema bikira imetolewa kwa kuendesha baiskeli ni mambo mengine kwanza binafsi siamini huo utetezi.

Yaani kijana ukutane na binti akuambie baiskeli ilitoa bikira yake, UTATHIBITISHAJE HAPO
 
mzinifu mwanamke ataolewa na mzinifu mwanamme and vice verse
 
Napokea ushauri wako mzee lakini kwa sharti hilo la kuoa bikra ni sawa na kusema vijana msioe maana bikra hamna wote wamekua malayer kinoma.
Ndgu yangu usiseme hamna bikra,bikra zipo na Mungu sio mpumbavu kiasi hicho,kwamba afanye idadi ya wanawake kua kubwa kisha bikra ziishe.....
 
mimi nafanya booking ya huyo ajae utakaemtafuta huyo mfanyakazi hope atakuwa bikra😂🤣😅
Karibu sana ila huwa wanakuja wadogo hukulia hapa, nipo somehow strict ila huwa nawapa ukweli, wa nini kitawatokea endapo watatawanya mapaja yao, nahisi huwa wananisikiliza
 
Subiri chombo cha kugundua mchina atengeneze, maana hata masista hawana
 
Mimi ni mzee naingia miaka 60 October . Nimeona mengi katika familia na ndoa za watu. Ukioa mwanamke ambaye alishaharibu USICHANA wake ni kama umeoa laana. Lakini ukioa mwanamke aliyejitunza usichana wake tangu kuzaliwa ni kama UMEOA BARAKA.

Nina mengi ya kuwaeleza katika hili lakini itoshe tu kujua hayo.

Ndoa zote zenye migogoro ukifuatilia background ya mwanamke utaona alishatumika kabla ya kupata wa kumuoa. Na wengi ibillisi huweka makazi kwao.
This level of cooking>>>>>>
 
Back
Top Bottom