Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! kwa Email MzeeSiku akija tu....
Telegram na-mute notification
JF nalog out then naswitch email
Mchepuko ambao unasumbua sana nachat nae Kwa email
Watsup nakua nagrey tick tu, ko sms ikiingia zinapop nyingi kwa wakati Moja plus notifications za magroup ya kikazi🧐
Na kuzipuuza ndo wanajikuta wanaumia, Vijana wengi wanajiua siku hizi kwa stress na msongo wa mawazoHiyo ni red flag tosha
Red flags ziko nyingi za kawaida na za kila siku ila vijana wengi wanazipuuza
Kwa kuongezea nyingine, mfano unamtoa manzi outing na mpo kwenye commited relationship
Atapost kila kitu mahali mlipoenda, mlichokula n.k lakini wewe mpenzi wake hakupost
Hapo ndugu yangu piga chini malaya huyo
Endelea kudakwa ovyo😂Email hawana muda nayo hao viumbe ukimaliza unafuta unaacha zle email ulikua unatuma pdf za kuomba kazi bakhresaDah! kwa Email Mzee
Uko ni kukosa kazi za kufanya mpk uanze kushugulika na notification…… kwa tabia hizo utabadilisha wanaume kila siku.!!Ndo atafute ambaye watakuwa wanaongea kauli moja na kukubaliana, tusi force badilisha watu
Hiyo ndio kanuni ya mwanaume kamili☺mi wangu ilikua tukiwa wote yangu tunakaa nayo wote yake anaficha shenzi zake 😂😂😂
Njoo kwetu tichq upate true love. Acha kurandaranda huko.Kwani bado mnaamini kuna true love? True love ni nyege zako tu zikiisha unasahau hata sura ya mpenz mwenyewe[emoji849]
Hakika mkuu halafu utakuta manzi kama huyo kijana anajisifu eti anahudumia.Na kuzipuuza ndo wanajikuta wanaumia, Vijana wengi wanajiua siku hizi kwa stress na msongo wa mawazo
Then Tunawashauri wanaona hatuna muda kumbe Tunapenda share na kuziba ufa kabla ya kujenga ukuta upyaHakika mkuu halafu utakuta manzi kama huyo kijana anajisifu eti anahudumia.
Akija kushtuka alikuwa anatapeliwa stress na msongo wa mawazo zinaanza
Ndio nyuzi zao nyingi humu za kulalamika wanagongewa, sijui kapigwa kibuti kumbe red flags zilikuwa ziko waziwazi tangu mwanzo wakazipuuzia
Vijana wakishalegezewa sauti, wakipewa sex na miguno fake wanakuwa wajinga kabisa
NAKAZIAThen Tunawashauri wanaona hatuna muda kumbe Tunapenda share na kuziba ufa kabla ya kujenga ukuta upya
Na vita vyenyewe huwa vinaanza hivi hivi... 😅vita ni vita mura
Kwani bado mnaamini kuna true love? True love ni nyege zako tu zikiisha unasahau hata sura ya mpenz mwenyewe🙄