ππππ Kuna watu mapenzi mnayachukulia serious sana..!! Mapenzi ni sanaa inayoendeshwa na wasanii wawili, ukilijua hilo wala hutokaa uteseke.Nyie ndo mnakuja kugundua mnazama kwenye kina mkidhani mnaogelea
acha tuuπππNa vita vyenyewe huwa vinaanza hivi hivi... π
kheeee hata wewe unasapoti πππby the way nilishamuachaππHiyo ndio kanuni ya mwanaume kamiliβΊ
Kwani bado mnaamini kuna true love? True love ni nyege zako tu zikiisha unasahau hata sura ya mpenz mwenyeweπ
Tabu yanini yote wadogo zangu, kwanini mnataka mpendwe kama pesa? We tafuta msambwnda piga pipe, Jenga familia, usijenge kibanda kwa asilimia 100!, wekeza hisia 10% tu, ukifumania, wala haikupi shida, unapiga chini unavuta mwingine!Watu wengi Mnashindwa kuelewaga mambo madogo na mnakuwa Vipofu katika mapenzi kwa kutoona vitu vidogo vidogo. Leo acha niwaambie ishara mbaya kwa mpenzi.
Mwamba/Dada unapokuwa katika harakati zako unawasiliana na mpenzo wako, na hata msipowasiliana basi utamkuta online huko WhatsApp, Instagram na kwingine. Lakini Mkikutana au mnapokuwa pamoja, simu yake haiingizi Notification kabisa na wengine huwa wanaificha uioni, Yaani haiingii akilini hata Notification ya YouTube ulizo subscribe zisiingie jaman.
hii inatokea kwa mtu ambaye siyo mwaminifu na ana wasiwasi wa mtu kumtafuta au kumpigia, hivyo hataka mwenzi wake ajue simu imeita au sms imeingia muda ngani, ngapi. Unakuta kashawaaga kawaambia amelala au yupo kwa mama.
Tuseme sawa anakuheshimu na anakupa attention lakin ndo hadi notification kweli? mean huna wasiwasi na simu za muhimu yani anakuwa kashajipanga kutokuwepo hewani muda flan.
vijana Redflag sio lazima zikuumize kuna nyingine zinaanzaga kimasihara tu ila badae itakuumiza tu, wasio waaminifu wanaanzaga hivyo hivyo..
π€£π€£πhuo ni ukorofi wa waz sasaNipo hapa Mwenge vinyago tunachonga sanamu lako, tukimaliza sijui tuliweke pale Mafiat au hapo Meta...
Sawa wanguNjoo kwetu tichq upate true love. Acha kurandaranda huko.
πKuna mahala Nyege hazifiki, ila unafika upendo tu
This is To meme π€£Kwani bado mnaamini kuna true love? True love ni nyege zako tu zikiisha unasahau hata sura ya mpenz mwenyeweπ
Yes To mimiThis is To meme π€£
Eeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu mapenzi mnayachukulia serious sana..!! Mapenzi ni sanaa inayoendeshwa na wasanii wawili, ukilijua hilo wala hutokaa uteseke.
π duuuKwani bado mnaamini kuna true love? True love ni nyege zako tu zikiisha unasahau hata sura ya mpenz mwenyeweπ
Unahoja yapaswa usikilizweWatu wengi Mnashindwa kuelewaga mambo madogo na mnakuwa Vipofu katika mapenzi kwa kutoona vitu vidogo vidogo. Leo acha niwaambie ishara mbaya kwa mpenzi.
Mwamba/Dada unapokuwa katika harakati zako unawasiliana na mpenzo wako, na hata msipowasiliana basi utamkuta online huko WhatsApp, Instagram na kwingine. Lakini Mkikutana au mnapokuwa pamoja, simu yake haiingizi Notification kabisa na wengine huwa wanaificha uioni, Yaani haiingii akilini hata Notification ya YouTube ulizo subscribe zisiingie jaman.
hii inatokea kwa mtu ambaye siyo mwaminifu na ana wasiwasi wa mtu kumtafuta au kumpigia, hivyo hataka mwenzi wake ajue simu imeita au sms imeingia muda ngani, ngapi. Unakuta kashawaaga kawaambia amelala au yupo kwa mama.
Tuseme sawa anakuheshimu na anakupa attention lakin ndo hadi notification kweli? mean huna wasiwasi na simu za muhimu yani anakuwa kashajipanga kutokuwepo hewani muda flan.
vijana Redflag sio lazima zikuumize kuna nyingine zinaanzaga kimasihara tu ila badae itakuumiza tu, wasio waaminifu wanaanzaga hivyo hivyo..
Hii imeendaaπ duuu