Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Yapo lkn mapenzi ya kweli ni ya kutafuta na torch.Huo ndo ukweli aisee,mapenz hakuna sikuhizi....
Mi nishachoka nayo kiukweliYapo lkn mapenzi ya kweli ni ya kutafuta na torch.
Ukiambiwa I love you usiwe likondoo uamini kirahisi...hapo mbunye tu ndio inatafutwa au pesa
π€£π€£π€£π³KhaaaKwani bado mnaamini kuna true love? True love ni nyege zako tu zikiisha unasahau hata sura ya mpenz mwenyeweπ
Uko wazi siku zoteMi nishachoka nayo kiukweli
π€£π€£π€£ivo yaanπ€π€£π€£π€£π³Khaaa
Eti bhana,ni fimbo tu huyoJitu kubwa zima unaliheshimu kumbe linalizwa na mapenzi π€£π€£π€£π€£
Km ni boss wangu akinituma siendi π€£π€£Eti bhana,ni fimbo tu huyo
Taraj henson?Taraj πππ
Nakuona unavyojilizaga na mapenzi km sio mjanja bana..!!! Ukitaka kuenjoy mapenzi yafanye km sanaa wala hutoumia
Naandaa dawa ya kukusaidia kaka mdogo wifi asikutese, tulia nazama chimbo sawa..?? πTaraj henson?
Mimi huyo nalia na mapenzi?
π€£
Kwanini hunisaidiii ndugu yako hadi unaona nafika hiyo stage?kama kijana ya 20's?
Hivi unafahamu nina vibinti viwili?Naandaa dawa ya kukusaidia kaka mdogo wifi asikutese, tulia nazama chimbo sawa..?? π
Thubutuu!!! Km hivyo na mi ninao watatu π€£Hivi unafahamu nina vibinti viwili?
π€£
Ukifahamu umri wa kaka yako hapa ndipo utaamini,au unahitaji kuwaona?π€£Thubutuu!!! Km hivyo na mi ninao watatu π€£
Nionyeshe hao aunt zangu πππUkifahamu umri wa kaka yako hapa ndipo utaamini,au unahitaji kuwaona?π€£
Lini nikuletee ushinde nao kabisa?Nionyeshe hao aunt zangu πππ
Ninavyopenda watoto sasa..!! Hapa ushanivuruga
job true trueππNdio maana watu wenye akili wengi hawakujihusisha na Mapenzi.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mi kulea najua ww walete kina aunt uone km hawajakatalia kurudi kwako πππLini nikuletee ushinde nao kabisa?
Ila hadi nitakapojithibitishia kuwa unafahamu kulea.π€£
Hahaha!Mi kulea najua ww walete kina aunt uone km hawajakatalia kurudi kwako πππ
Walete jpili ndio napatikana home