Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nna dada wa kazi naye anapenda watoto sana, ww walete wapate utulivu kwa aunt yao mpole na mcheshiHahaha!
Nitashukuru wakipata mtu wa karibu mcheshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna dada wa kazi naye anapenda watoto sana, ww walete wapate utulivu kwa aunt yao mpole na mcheshiHahaha!
Nitashukuru wakipata mtu wa karibu mcheshi.
Naomba wafike na dada yao waliomzoea.Nna dada wa kazi naye anapenda watoto sana, ww walete wapate utulivu kwa aunt yao mpole na mcheshi
Wote waje hata na mbwa wao wanayechezaga naye sawa tu 😂Naomba wafike na dada yao waliomzoea.
Wekeni kwa “Mama John”!Nipo hapa Mwenge vinyago tunachonga sanamu lako, tukimaliza sijui tuliweke pale Mafiat au hapo Meta...
Ukiona mpenzi wako kaweka kindege mkiwa pamoja ujue kwenye hiyo ndege yuko mtu mwingineNilishtuka siku nilipokuta kaweka kindege( airplane mode ), nikasema kwisha kabisa
🤣🤣Wote waje hata na mbwa wao wanayechezaga naye sawa tu 😂
Niko serious bana 😂😂🤣🤣
Kumbe hauko serious na wageni.
Wekeni kwa “Mama John”!
Jitahidi huu mwaka,hata nikirejea Dec niongezee idadi ya watoto wasumbufu wanaonizunguka.😅Niko serious bana 😂😂
Si wanakuja na toys zao, huku kwa aunt hakuna vitu vya kuchezea..!! Si unajua aunt yao bado hajabahatika kupata watoto..!!
Si anapiga simu unazani wanatuma meseji?????Anajuaje anaongea na mwanaume?
Naunga mkono hoja.Kwani bado mnaamini kuna true love? True love ni nyege zako tu zikiisha unasahau hata sura ya mpenz mwenyewe[emoji849]
✌️Naunga mkono hoja.
huna akili wewe.Pole sana Kwa kuchoka kuishi
Kujihisi kama umechoka kuishi
Habari, Je, kuna mtu hufikia hatua akawa katika hali niliyonayo muda huu? I mean kwamba kuna wakati ukifika nikitafakari maisha yangu nahisi kama kukata tamaa, yaani kuhisi uchovu tu from no where. Yaani sijui niiweke vipi ila kuna muda tu ukifikaga tafakuri ya maisha hunijia, najikuta...www.jamiiforums.com