ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Fafanua shida ni Nini?walokole wanaolewa na walokole wenzaoπππ
The same hata vitabu vyetu vya dini vinasema hvo...walokole wanaolewa na walokole wenzaoπππ
ΟdΒ²Hakuna kanuni maalumu...
Si jikajuaga na wewe ni mlokole eti??walokole wanaolewa na walokole wenzaoπππ
πππππkwani nimejijumuisha hapo mbona unanitafuta manenoπSi jikajuaga na wewe ni mlokole eti??
Anhaa.. sasa kwenye ma concert ya walokole huwa unatafuta nini kule???πππππkwani nimejijumuisha hapo mbona unanitafuta manenoπ
nyimbo bhana napenda kusifu na kuabudu πhapa penyewe jumamos na jumapili shwaaa kwa Dr IpyanaAnhaa.. sasa kwenye ma concert ya walokole huwa unatafuta nini kule???
Unasifu na kuabudu,umejibebea na vi heinken vyako mwenyewe, koo likikauka kwa sifa unabana corridor kushushia kidogo..πnyimbo bhana napenda kusifu na kuabudu πhapa penyewe jumamos na jumapili shwaaa kwa Dr Ipyana
Mlokole anaolewa na mlokole mwenzake, maana hayo mapaka watakemea pamoja, kanisani wataenda pamoja, wote wawili safari ya mbinguni itakuwa kipaumbele kwao, na ndoa yao itaenda tu