min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁Nimetania tu , ila pombe ilikua kali mno .Ahaaa atakuwa alkupa ile kali imekatika mbege ya wazee wenyewe.. ..Kwa hiyo ulivofika nyumbani ukalala migombani😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Nimetania tu , ila pombe ilikua kali mno .Ahaaa atakuwa alkupa ile kali imekatika mbege ya wazee wenyewe.. ..Kwa hiyo ulivofika nyumbani ukalala migombani😂😂😂
Sawasawa hio mbege ikikaa mda inakuwa kali na ndio watu wanaitaka😁😁Nimetania tu , ila pombe ilikua kali mno .
Mhn tukirudi kwenye mada ila kwa rombo walokole hawazidi kumi labda marangu kidogo🤔Sawasawa hio mbege ikikaa mda inakuwa kali na ndio watu wanaitaka
Ila kuna ile kukamua na kunywa siku ya kwanza ya pili inakuwa kama togwa tamu sukari
Sijafanya utafiti huo....kwa nini marangu?Mhn tukirudi kwenye mada ila kwa rombo walokole hawazidi kumi labda marangu kidogo🤔
Ndoa ni ka mtego broMnaogopa sana ndoa
Naona tu kwa mizunguko yangu ila ni wanafki hatari.Sijafanya utafiti huo....kwa nini marangu?
Acha kututisha ...
Hamna mtego wowote, watu dhaifu tu ndio huogopa kitu kama ndoaNdoa ni ka mtego bro
Dah , umeongea kwa ukubwa sana ,kwa nini useme watu dhaifu mkuu ? Kwa sababu kuna ambao hawaogopi ila hawaoni faida ya ndoa🤔Hamna mtego wowote, watu dhaifu tu ndio huogopa kitu kama ndoa
Mpare kalala na mapombe ya kienyeji , ameni mtumishi wa bwana mambo yako.Bwana Yesu asifiwe baba mchungaji 🖐️
Niko pouwa kabisa min, sijui wewe??!Mpare kalala na mapombe ya kienyeji , ameni mtumishi wa bwana mambo yako.
Mimi nipo poa mno , nisipoona mchango wako humu huwa nakosa amani rafiki yangu😊Niko pouwa kabisa min, sijui wewe??!
Sema kweli? Leo nilibanwa ndio naingia ila sikai sana natoka. Nashukuru km huwa mnanimiss 🫶Mimi nipo poa mno , nisipoona mchango wako humu huwa nakosa amani rafiki yangu😊
Sure, huwa siwezi sema uwongo, mimi ndio najiandaa kuingia job.Sema kweli? Leo nilibanwa ndio naingia ila sikai sana natoka. Nashukuru km huwa mnanimiss 🫶
Majobless tumeamka muda huu, nitafutie kibarua basi uzunguni huko hata cha h/girl 😜Sure, huwa siwezi sema uwongo, mimi ndio najiandaa kuingia job.