Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Acha ulokolemlokole hanywi pombe😂😂 kuna ulokole na kuna Fear of God
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ulokolemlokole hanywi pombe😂😂 kuna ulokole na kuna Fear of God
Niambie Mimi na Hekima ni Mwalimundio
Nipo hapa kuja uolewe kwa Bwana YesuTuta olewa na walokole wenzetu hukohuko kwa kanisa🤭
Na wewe nae ni mlokole ? Mbona nakuona kwenye maboora mara kadha?Tuta olewa na walokole wenzetu hukohuko kwa kanisa🤭
🤭Weeeeee unafikiri kweli basi hayo Mabohora/ulokole!?Na wewe nae ni mlokole ? Mbona nakuona kwenye maboora mara kadha?
Upo moshi kwani?🤭Weeeeee unafikiri kweli basi hayo Mabohora/ulokole!?
Alafu umenkumbusha kambege ngoja nkanywe🔥
NdiooUpo moshi kwani?
Nikajua upo dasilamuNdioo
HapanaNikajua upo dasilamu
Ila mbege ya huko kwenu ni kali ilishanilaza mgombani .Hapana
We ebu niadithie vizuri ulikunywa litre ngapi?Ila mbege ya huko kwenu ni kali ilishanilaza mgombani .
Kidogo tu , kuna siku nilienda kutalii rombo mara yangu ya kwanza 😁😁 ile mbege yenu ni kiboko🙌We ebu niadithie vizuri ulikunywa litre ngapi?
Ilikuwa chachu ? Au ulichanganya na ile ya mahindi?Kidogo tu , kuna siku nilienda kutalii rombo mara yangu ya kwanza 😁😁 ile mbege yenu ni kiboko🙌
Apana kumbe kuna ya mahindi tena ? Hiyo nilipewa na mzee mmoja wa kale ukoo wa mangi tulipo enda home kwake kupata historia ,maeneo ya makiidi karibu na mkuu .Ilikuwa chachu ? Au ulichanganya na ile ya mahindi?
Apana kumbe kuna ya mahindi tena ? Hiyo nilipewa na mzee mmoja wa kale ukoo wa mangi tulipo enda home kwake kupata historia ,maeneo ya makiidi karibu na mkuu .