hapana siwezi kufanya hivyo when it comes to God siwi mimi unae nijuaπππUnasifu na kuabudu,umejibebea na vi heinken vyako mwenyewe, koo likikauka kwa sifa unabana corridor kushushia kidogo..π
Nakaziawalokole wanaolewa na walokole wenzaoπππ
Uo ndio ulokole wenyewehapana siwezi kufanya hivyo when it comes to God siwi mimi unae nijuaπππ
mlokole hanywi pombeππ kuna ulokole na kuna Fear of GodUo ndio ulokole wenyewe
ewaaaaNakazia
Mamdogo, kwani bamdogo siyo mlokole?πππππkwani nimejijumuisha hapo mbona unanitafuta manenoπ
haiwezi tokeaπMamdogo, kwani bamdogo siyo mlokole?
Kuna "pump" za kuyafanya maji yasifuate mkondoMaji hufuata mkondo.
Kwanini sasa?haiwezi tokeaπ
Elewa Neno 'Mlokole'walokole wanaolewa na walokole wenzaoπππ
Naweza kuunga mkono hoja hiyo kwani huko kwenye kificho hicho ni kichaka cha giza nene mno katika maishaπ
si kila mtu na mapenzi yakeKwanini sasa?
ndioElewa Neno 'Mlokole'
Mlokole ni jinsia?
Pumbavu kabisa wewe.