Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Acha ulokolemlokole hanywi pombe๐๐ kuna ulokole na kuna Fear of God
Niambie Mimi na Hekima ni Mwalimundio
Nipo hapa kuja uolewe kwa Bwana YesuTuta olewa na walokole wenzetu hukohuko kwa kanisa๐คญ
Na wewe nae ni mlokole ? Mbona nakuona kwenye maboora mara kadha?Tuta olewa na walokole wenzetu hukohuko kwa kanisa๐คญ
๐คญWeeeeee unafikiri kweli basi hayo Mabohora/ulokole!?Na wewe nae ni mlokole ? Mbona nakuona kwenye maboora mara kadha?
Upo moshi kwani?๐คญWeeeeee unafikiri kweli basi hayo Mabohora/ulokole!?
Alafu umenkumbusha kambege ngoja nkanywe๐ฅ
NdiooUpo moshi kwani?
Nikajua upo dasilamuNdioo
HapanaNikajua upo dasilamu
Ila mbege ya huko kwenu ni kali ilishanilaza mgombani .Hapana
We ebu niadithie vizuri ulikunywa litre ngapi?Ila mbege ya huko kwenu ni kali ilishanilaza mgombani .
Kidogo tu , kuna siku nilienda kutalii rombo mara yangu ya kwanza ๐๐ ile mbege yenu ni kiboko๐We ebu niadithie vizuri ulikunywa litre ngapi?
Ilikuwa chachu ? Au ulichanganya na ile ya mahindi?Kidogo tu , kuna siku nilienda kutalii rombo mara yangu ya kwanza ๐๐ ile mbege yenu ni kiboko๐
Apana kumbe kuna ya mahindi tena ? Hiyo nilipewa na mzee mmoja wa kale ukoo wa mangi tulipo enda home kwake kupata historia ,maeneo ya makiidi karibu na mkuu .Ilikuwa chachu ? Au ulichanganya na ile ya mahindi?
Apana kumbe kuna ya mahindi tena ? Hiyo nilipewa na mzee mmoja wa kale ukoo wa mangi tulipo enda home kwake kupata historia ,maeneo ya makiidi karibu na mkuu .