Vijana mnarogwa na nani kwenye biashara?

Vijana mnarogwa na nani kwenye biashara?

Cruel conman

Member
Joined
Jan 29, 2024
Posts
34
Reaction score
118
Tunajua kwa exposure uliyopata kwa kusoma una expect vitu vikubwa huku ukisahau kwamba nidhamu ya fedha ndo kila kitu kwenye maisha ya biashara na ndo maana biashara nyingi zinafilisika

Mimi hainiingii akilini kabisa inawezekana vipi kijana msomi una degree yako safi unaua biashara ya duka ya mil. 3.5 au kuwakuwa una duka lililokamilika basi wewe ni tajiri unafungua muda unaotaka unafunga muda unaotaka, basi ndo muda wa kuflex na wanawake na uko serious kabisa

Matarajio yangu ratiba zako zitakuwa zinaeleweka asubuhi unaamka mapema unaenda dukani ukiingia dukani hamna kufunga mpaka sa nne chakula unaweka order unaletewa siku imeisha siku ya pili hivo hivo lini mtajifunzaa kusacrifice baadhi ya vitu kwaajili ya malengo ya baadaye

Kinachoniacha hoi inakuaje kijana msomi hujui kutofautisha mtaji na faida, kwakuwa hela ipo dukani wewe ni kufakamia tu
 
Mimi hainiingii akilini kabisa inawezekana vipi kijana msomi una degree yako safi unaua biashara ya duka ya mil. 3.5 au kuwakuwa una duka lililokamilika basi wewe ni tajiri unafungua muda unaotaka unafunga muda unaotaka, basi ndo muda wa kuflex na wanawake na uko serious kabisa
Ukweli nikwamba hasara haiangalii degree ya mtu
 
Mimi hainiingii akilini kabisa inawezekana vipi kijana msomi una degree yako safi unaua biashara ya duka ya mil. 3.5 au kuwakuwa una duka lililokamilika basi wewe ni tajiri unafungua muda unaotaka unafunga muda unaotaka, basi ndo muda wa kuflex na wanawake na uko serious kabisa
Acha umaskini uwatwange.....wanahendekeza starehe badala ya kazi.
 
Tunajua kwa exposure uliyopata kwa kusoma una expect vitu vikubwa huku ukisahau kwamba nidhamu ya fedha ndo kila kitu kwenye maisha ya biashara na ndo maana biashara nyingi zinafilisika

Mimi hainiingii akilini kabisa inawezekana vipi kijana msomi una degree yako safi unaua biashara ya duka ya mil. 3.5 au kuwakuwa una duka lililokamilika basi wewe ni tajiri unafungua muda unaotaka unafunga muda unaotaka, basi ndo muda wa kuflex na wanawake na uko serious kabisa

matarajio yangu ratiba zako zitakuwa zinaeleweka asubuhi unaamka mapema unaenda dukani ukiingia dukani hamna kufunga mpaka sa nne chakula unaweka order unaletewa siku imeisha siku ya pili hivo hivo lini mtajifunzaa kusacrifice baadhi ya vitu kwaajili ya malengo ya baadaye

Kinachoniacha hoi inakuaje kijana msomi hujui kutofautisha mtaji na faida, kwakuwa hela ipo dukani wewe ni kufakamia tu
Sasa maisha ya mtu yanakusumbuaje kichwa? Wakati anatafuta mtaji ulikuwepo? Au unajua kafungua biashara ili apate faida? Wengine geresha tu hizo faida wanaoata kwenye odds huko

Kina Mpaji Mungu
 
Kinachoniacha hoi inakuaje kijana msomi hujui kutofautisha mtaji na faida, kwakuwa hela ipo dukani wewe ni kufakamia tu
Hii kitu nayo ipo sana kwa watu wengi sio Wasomi tu hata wafanya biashara unamuona yuko bize kila siku anakutajia tu anachoingiza ila hajui faida ni kiasi gani.

Utamkuta kijana anajidai naingiza milioni tatu kwa mwezi. Kumbe faida hapo haizidi laki tano.
 
Back
Top Bottom