Vijana mnarogwa na nani kwenye biashara?

Vijana mnarogwa na nani kwenye biashara?

Biashara si ya kila mtu.....kutafuta pesa si kazi....kazi ni pale kuifanya pesa izae pesaa.
Umenikumbusha zamani nyumba zetu zilikuwa na vile vibango ukutani "Kupenda sio kazi kazi ni kumpata akupendae" "🤣
 
Elimu na Biashara ni vitu viwili tofauti.

Alipewa Elimu kwanza, kabla ya kumlaumu.

Mpe Elimu kisha muangalir tena
Utafanya vip biashara bila elimu , sijaelewa nifafanulie elimu na biashara inakua vip tofauti?
 
Tunajua kwa exposure uliyopata kwa kusoma una expect vitu vikubwa huku ukisahau kwamba nidhamu ya fedha ndo kila kitu kwenye maisha ya biashara na ndo maana biashara nyingi zinafilisika

Mimi hainiingii akilini kabisa inawezekana vipi kijana msomi una degree yako safi unaua biashara ya duka ya mil. 3.5 au kuwakuwa una duka lililokamilika basi wewe ni tajiri unafungua muda unaotaka unafunga muda unaotaka, basi ndo muda wa kuflex na wanawake na uko serious kabisa

Matarajio yangu ratiba zako zitakuwa zinaeleweka asubuhi unaamka mapema unaenda dukani ukiingia dukani hamna kufunga mpaka sa nne chakula unaweka order unaletewa siku imeisha siku ya pili hivo hivo lini mtajifunzaa kusacrifice baadhi ya vitu kwaajili ya malengo ya baadaye

Kinachoniacha hoi inakuaje kijana msomi hujui kutofautisha mtaji na faida, kwakuwa hela ipo dukani wewe ni kufakamia tu
Tafta hela usisahau kuishi, au una BIMA ya ,maisha? Ni lini utafanya starehe na utajuaje maisha ya kesho ndo yamefika nile starehe? Life ni kupanga tu nahsi.
 
Lamomy kafungua duka kariakoo analipa kodi laki 7 lakini anauza kijora kimoja kwa siku na kila siku yupo unajua faida anapataje?
Kwanza kabisa pole, silipi laki 7 ni one million point 7 for month kwa duka moja na nna maduka 2 na store 1 nimechukua floor nzima….!!

Tuje kwenye kuuza kijora kimoja sasa 😹😹😹

Hapo kwanza ncheke 🤣
Nipe glass moja ya margarita shots maelezo ni marefu 😹😹
 
Kiufupi Sina shida na mtu anaekula hela yake kwa namna yoyote ile ilimradi asivunje Sheria za nchi...hii mada yako naielekeza kwenye Wizara zetu na ofisi ya Raisi wetu kwa jinsi tunavyotafuta hela kwa shida halafu tunalipa Kodi wanaenda na misafara ya maelfu kuzima limshumaa likubwa huko Mwanza halafu wanatoka hapo linaenda tena kuzungusha nchi mzima kwa gharama za Kodi za wananchii...Hawa watu wawe na uchungu na hela za wananchii basi !!! Limshumaa likubwa lina faida gani this is 2024 bwana ? Tena wanawasha mchana wakati jua la Mungu lipo.
 
Kwanza kabisa pole, silipi laki 7 ni one million point 7 for month kwa duka moja na nna maduka 2 na store 1 nimechukua floor nzima….!!

Tuje kwenye kuuza kijora kimoja sasa 😹😹😹

Hapo kwanza ncheke 🤣
Nipe glass moja ya margarita shots maelezo ni marefu 😹😹
Hiiii... lamomy nipe michongo bas
 
Ili kijana yeyote aweze kusimamia bishara ni lazima ale kwanza hasara,abaki na kidogo kabisa ndio atazinduka na kuanza kupangilia kila mia moja anayoipata,vinginevyo atapewa mtaji mara nyingi na matokeo yatakuwa yaleyale.
Correct.....wanaopewa mitaji ukicachana na bishara za kurithi hawajawahi kutoboa.
 
Tunajua kwa exposure uliyopata kwa kusoma una expect vitu vikubwa huku ukisahau kwamba nidhamu ya fedha ndo kila kitu kwenye maisha ya biashara na ndo maana biashara nyingi zinafilisika

Mimi hainiingii akilini kabisa inawezekana vipi kijana msomi una degree yako safi unaua biashara ya duka ya mil. 3.5 au kuwakuwa una duka lililokamilika basi wewe ni tajiri unafungua muda unaotaka unafunga muda unaotaka, basi ndo muda wa kuflex na wanawake na uko serious kabisa

Matarajio yangu ratiba zako zitakuwa zinaeleweka asubuhi unaamka mapema unaenda dukani ukiingia dukani hamna kufunga mpaka sa nne chakula unaweka order unaletewa siku imeisha siku ya pili hivo hivo lini mtajifunzaa kusacrifice baadhi ya vitu kwaajili ya malengo ya baadaye

Kinachoniacha hoi inakuaje kijana msomi hujui kutofautisha mtaji na faida, kwakuwa hela ipo dukani wewe ni kufakamia tu
Hii imeniingia sana
 
Lkn pia tuangalie serekali inavyo chezea pesa zetu zilizoptima kwa shida unakuta waziri mzima unamiliki timu ya wa watu 28 na kuajiri makocha kutoka nnje
 
Back
Top Bottom