Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba Inayopendekezwa

Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba Inayopendekezwa

Wewe usiyevuta bangi akili yako ni dhaifu,just a little while only time will tell

Shida ya chadema ni kuuvunja muungano ili wasidaiwe asilimia ya wazanzibar ili kuungwa mkono katika mgombea wa urais. Na bado vijana wanaisoma kweli kweli katiba hii na wengi wataikubali sio muwapotoshe kwa uchu wenu mkubwa wa kushika dola ili muigawe nchi.
 
Hata leo muulize msukule yoyote wa mbowe aliyeko kijijini au mjini akuambie ni kwa nn haitaki katiba pendekezwa hana jibu zaidi ya kusema nimeambiwa na chama changu.
 
Umeshawehuka wewe na nahic huyo Mwakoboko keshakuoa huko uliko na huyo mchora katuni anaonekan kuwa ni mmeo.
7903999_orig.jpg
 
Kama umeichoka Tanzania katafute uraia kwengine, wewe katiba yako nzuri iko wapi? Warioba hana Katiba yeye aliandika mapendekezo tu na sio vinginevyo.
Boya sana wewe hangalia kifungu cha 5,-9 kurasa ya 8 wewe na familia yako mtabaki kuwatumikia hao vibaraka na chunga sana hizo buku 7 mnazopewa kisha unasahau maisha ya future to come for your new generation. Kilaka wewe .


swissme
 
boya sana wewe hangalia kifungu cha 5,-9 kurasa ya 8 wewe na familia yako mtabaki kuwatumikia hao vibaraka na chunga sana hizo buku 7 mnazopewa kisha unasahau maisha ya future to come for your new generation. Kilaka wewe .


Swissme

boya ni wewe pamoja na hao walokuzaa plus hao walokutuma kujakuharibu na kupotosha watanzania wazalendo, nakwambia huambulii kitu humu kubwa jinga wewe, hivo vifungu umeweka hata hujui kuchambua katiba unataja kurasa badala ya ibara, yaani hii inaonyesha jinsi gani ulivyo kilaza wa kuchambua hii katiba. Shenzi type!!
 
Vijana wa Morogoro naona mmefungua watu wengi kuhusu Katiba Inayopendekezwa. Na kwa kuwa muda wa kura ya maoni umesogezwa mbele wengi natumaini mtapata muda wa kupata elimu kuhusu Katiba Inayopendekezwa.
 
Boya sana wewe hangalia kifungu cha 5,-9 kurasa ya 8 wewe na familia yako mtabaki kuwatumikia hao vibaraka na chunga sana hizo buku 7 mnazopewa kisha unasahau maisha ya future to come for your new generation. Kilaka wewe .


swissme

!
!
mkuu swissme achana nae huyu atakupotezea mb bure. Mwalimu mkuu mama ake.
 
Last edited by a moderator:
boya ni wewe pamoja na hao walokuzaa plus hao walokutuma kujakuharibu na kupotosha watanzania wazalendo, nakwambia huambulii kitu humu kubwa jinga wewe, hivo vifungu umeweka hata hujui kuchambua katiba unataja kurasa badala ya ibara, yaani hii inaonyesha jinsi gani ulivyo kilaza wa kuchambua hii katiba. Shenzi type!!
Agent wa Albino wewe


swissme
 
Boya sana wewe hangalia kifungu cha 5,-9 kurasa ya 8 wewe na familia yako mtabaki kuwatumikia hao vibaraka na chunga sana hizo buku 7 mnazopewa kisha unasahau maisha ya future to come for your new generation. Kilaka wewe .


swissme

Kweli kazi ipo,nina wasiwasi na elimu yako kama hukukimbia class wewe sijui!! Sasa hapa ndio umetaja nini wewe hueleweki ni ibara, kurasa au vifungu unajitajia tu eleza nini unakiongelea kama huwezi kujua ibara yake hapo utaeleweka sio ukae kupotosha wanaforum utakula za uso mpaka ukome!!!,
 
Kweli kazi ipo,nina wasiwasi na elimu yako kama hukukimbia class wewe sijui!! Sasa hapa ndio umetaja nini wewe hueleweki ni ibara, kurasa au vifungu unajitajia tu eleza nini unakiongelea kama huwezi kujua ibara yake hapo utaeleweka sio ukae kupotosha wanaforum utakula za uso mpaka ukome!!!,
Hizo buku 7 unaziona ni nyingi kiasi kwamba unajisahaulisha kuwa uko mme na watoto na jaribu hata kumuhuliza mume wako kuwa kama hii katiba itawezaje kusaidia you're new generation kweli mama yangu unapoteza familia yako kwa njaa ya siku kadhaa.


swissme
 
Back
Top Bottom