Vijana msije tumiwa vibaya kwenye mikutano ya Siasa

Vijana msije tumiwa vibaya kwenye mikutano ya Siasa

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
 
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
kumbuka kwamba vijana wanasoma na hawana ajira.
umeme ukikatika hata vijana wana athirika
barabara mbovu wanapita humo pia
huduma mbovu za afya nao wana athirika nazo
Vijana ni sehemu ya wananchi.... mikutano ya siasa siyo vurugu acha wehu na wasiwasi
 
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
Hayajitambui acha yatumike kama makondom maana hata Ruto aliyatumia ila hakuna kilichobadilika Hadi sasa
 
Masisiemu yamevugwa sana hapa nilipo leo yalikua na kikao yanamlaumu mama kwanini karuhusu mikutano

Nadhani yalizoea kubebwa sasa ghafla yamatakiwa kwenda site kupiga kazi
 
Hasa CCM waache kutumia vijana vibaya, yaani unawaita watu CHAWA, Na Hawa chawa lengo lao Ni kufanya vurugu tu hawana uwezo wa hoja kwa chadema

Kingine ccm imkamate yule polisi dada, anayetishia usalama wa lissu

Kingine ccm ivunje jeshi lake la green guard
 
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
Hivi bado unaweza kushauri vijana mambo haya ?
 
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika

Ila mkipora uchaguzi hamtaki kuharibu amani yetu.
 
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
Kupora uchaguzi ni kudumisha Amani sio! Chawa mnachekesha sana
 
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
Masalia ya marehemu mbona mnaogopa sana mikutano?
 
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
Halafu wengine walishasema kubwa watoto wao wote wana uraia wa ughaibuni.
 
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
Vurugu gan? Acha ujinga! Hakuna wapinzani waletao vurugu bali ni chokochoko za walinda usalama wa raia na wanaowapa maagizo
 
CDM songa mbele, Peopleeeeeees!
Nimesukumwa na dhamila yangu njema kuwaonya vijana wetu wasijiingize kwenye vurugu zinazo sukumwa na watu Wa gonvi wanao jivika vazi la siasa huku wakitaka kuondoa Amani Yetu. Niombi langu kuwa muwapuuze Wanasiasa wanao taka kuleta taharuki na kuivuruga Amani Yetu. Siasa au matabaka ya vyama ya situgawe tubakie kuwa wamoja na tunaotanguliza utanzania kwanza.Tanzania ni mama Yetu na hatuna pakukimbilia Tanzania ikiharibika
onga
 
Back
Top Bottom