Vijana Msijidanganye: Ukiamua kujiajiri ni lazima uwe na nidhamu ya kazi (Self-Discipline) mara kumi (10) zaidi ya ulivyoajiriwa ndio utafanikiwa

Kwa hio wafanyakazi wote hawajajenga?.
Tuheshimu shughuli za watu jmn
Tena mfanyakazi anaweza akachukua mkopo 100m akajenga nyumba hela yote, mjasiriamali akiwa na 100m atajenga nyuma ya 35-50m the rest ana invest.
 
Tena mfanyakazi anaweza akachukua mkopo 100m akajenga nyumba hela yote, mjasiriamali akiwa na 100m atajenga nyuma ya 35-50m the rest ana invest.
Wote wako sawa
Mana maisha sio ushindani ni kila mtu na anayoyapanga

Huwezi jua mwenye mkopo wa 100M anakuwa na chenji/akiba ya Sh ngapi!hadi akaamua kujenga huo mjumba
 
Wote wako sawa
Mana maisha sio ushindani ni kila mtu na anayoyapanga

Huwezi jua mwenye mkopo wa 100M anakuwa na chenji/akiba ya Sh ngapi!hadi akaamua kujenga huo mjumba
Mentality ya mfanyakazi ni tofauti na ya mfanyabiashara. Hawako sawa hata chembe. Na wengi wanaotoka kwenye ajira huwa wanafeli kwenye biashara kwa kushindwa kuachana na mentality za kuajiriwa.
 
kwa hiyo dada mtu akiwa anamiliki nyumba na kagali ka usafiri hapo katoboa.... ???? maisha ni ZAIDI ya hivyo dada huwa nkitazama watu wenye malengo hayo huwa nawaona wadogo sana kwangu mimi maisha ni kuwa na vitu vingi vya kukupa pesa hata kama umelala kitandani na si eti utegemee mshahara wa lak 8 mtaa mzma kelelee tu na gali yako
 
inategemeana na ambition za mtu ndio maana nilimuuliza kutoboa anamaanisha nini? ila kwa Tz watu kumiliki hivyo vitu ndio watu wanaokuwa considered wana maisha bora
 
Hivi kipimo cha kutoboa ni kipi?
inategemeana na ambition za mtu ndio maana mwanzo mwenyewe nilimuuliza kutoboa ana maana gani? Nimemtolea hiyo mifano sababu kwa Tz watu wenye hivyo vitu ndio wanaokuwa considered na wengi kuwa wana maisha bora, au labda ni kumiliki private jet na yatch?
 
🤝Wengi tulifeli/tunaendelea kufeli hapa.
 
Mkuu, hii mada inahusu nidhamu katika kujiajiri siku za mwanzoni na sio debate kati ya kuajiriwa Vs kujiajiri.
Usiwe dikteta, hatuwezi kuwa rigid kushikilia kitu kimoja. Nimekuuliza kwasababu wewe ndio umeleta habari za rafiki yako au hio ndio kuajiriwa vs kujiajiri? Jibu swali napenda kujua kipimo cha kutoboa, ndio kulipwa 100,000 kwa siku?
 
Usiwe dikteta, hatuwezi kuwa rigid kushikilia kitu kimoja. Nimekuuliza kwasababu wewe ndio umeleta habari za rafiki yako au hio ndio kuajiriwa vs kujiajiri? Jibu swali napenda kujua kipimo cha kutoboa, ndio kulipwa 100,000 kwa siku?
NINARUDIA TENA KWA MARA NYINGINE, hii mada inahusu nidhamu katika kujiajiri siku za mwanzoni na sio debate kati ya kuajiriwa Vs kujiajiri. Full stop.
 
Mentality ya mfanyakazi ni tofauti na ya mfanyabiashara. Hawako sawa hata chembe. Na wengi wanaotoka kwenye ajira huwa wanafeli kwenye biashara kwa kushindwa kuachana na mentality za kuajiriwa.
Ni kweli hawako sawa and its okay.,

Kufeli na kufaulu ni matokeo tu..
My point was kwenye kujiajiri nako lazima uchague sio kila 'kujiajiri' utafanikiwa
 
Hujui raha ya kuwa boss hata kama unakua na nidhamu ya kutosha


Kujiajiri ndio njia bora ya kukuza ubongo na akili za kufika mbali.

Amini nakuambia nampenda anayewaza kujiajiri hata kama hana nidhamu. Nidhamu atajifunzia huko huko kwenye kazi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…