π€£ππππSio wewe umeandika huu uzi?
Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.www.jamiiforums.com
Mjitaidi kuzunguka na mikoa ya wenzenu nchi kubwa hiyi msijifungie kwenye box...
Leo siku ya tano nipo kwa FATU napiga kasia tu. Huku kwetu sishauri kabisa mtu aje aisee
Toa location mkuu nikichomoka kwenye hiki kikombe nikimbilie huko
π π π π π π π labda kaenda kusomaSio wewe umeandika huu uzi?
Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.www.jamiiforums.com
Kwahiyo Unataka tutoke DSM mkuu?
Anataka utoke Daslam uende Njombe ...
akijibu hii naomba nitag ...chiefSio wewe umeandika huu uzi?
Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.www.jamiiforums.com
TimefikiwaMjitaidi kuzunguka na mikoa ya wenzenu nchi kubwa hiyi msijifungie kwenye box
Huku niliko unaweza kaa hata mwez usimsikie MTU akitaja Samia suruhu au kiongozi wa nchi
Stories za huku
π oya mwana zile scania zako uliagiza wapi; oya Remy niazime million 30 nikanunue vocha;
wakuu mwenyewe nilistaajabu
toka
nije huku nimesahau kama kuna sex dunian na nimegundua usipokuwa na kazi unawaza...............muda wote