Vijana msijifungie kwenye box

Vijana msijifungie kwenye box

Mjitaidi kuzunguka na mikoa ya wenzenu nchi kubwa hiyi msijifungie kwenye box

Huku niliko unaweza kaa hata mwez usimsikie MTU akitaja Samia suruhu au kiongozi wa nchi

Stories za huku
👉 oya mwana zile scania zako uliagiza wapi; oya Remy niazime million 30 nikanunue vocha;

wakuu mwenyewe nilistaajabu

toka
nije huku nimesahau kama kuna sex dunian na nimegundua usipokuwa na kazi unawaza...............muda wote
Timefi
 
Mjitaidi kuzunguka na mikoa ya wenzenu nchi kubwa hiyi msijifungie kwenye box

Huku niliko unaweza kaa hata mwez usimsikie MTU akitaja Samia suruhu au kiongozi wa nchi

Stories za huku
👉 oya mwana zile scania zako uliagiza wapi; oya Remy niazime million 30 nikanunue vocha;

wakuu mwenyewe nilistaajabu

toka
nije huku nimesahau kama kuna sex dunian na nimegundua usipokuwa na kazi unawaza...............muda wote


Ushavuta cha Arusha, ukivuta unaona uko dunia nyingine
 
Mjitahidi kuzunguka na mikoa ya wenzenu nchi kubwa hiyi msijifungie kwenye box

Huku niliko unaweza kaa hata mwez usimsikie MTU akitaja Samia suruhu au kiongozi wa nchi

Stories za huku
👉 oya mwana zile scania zako uliagiza wapi; oya Remy niazime million 30 nikanunue vocha;

wakuu mwenyewe nilistaajabu

Toka nije huku nimesahau kama kuna sex dunian na nimegundua usipokuwa na kazi unawaza muda wote
Amka ukakojoe wew fala hizo ndoto za mchana utachafua shuka
 
Sio wewe umeandika huu uzi?
Aiseee

Ila kuna ujumbe kaandika hapo
Yaani asilimia kubwa ni maongezi ya siasa then mpira
Ila pia inategemea na kazi zako
Mi nafanya kazi na vijana ambao hawajaenda shule magodwn/madukani hawajuo hata hayo mambo ya uchawa asilimia kubwa ya machawa ni wasomi
Chunguza hili
 
Back
Top Bottom