Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Sio wewe umeandika huu uzi?
Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.www.jamiiforums.com
haha!!!Ndio mm mkuu nimeamua kuja nje ya box VP mshahara umetoka nijongee kwa wakala mana kazin sijaenda yapat mwez sasa
Umepiga utosini sidhani kama ataamka huyu 😂Sio wewe umeandika huu uzi?
Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.www.jamiiforums.com
Si ndiooooo 😎bila kunichokoza hupumui sio
unanibana mno sasa,,utaniua kwa kukosa pumziSi ndiooooo 😎
Bc mamaa, ngoja nikupe nafasi ya kupumua 😎unanibana mno sasa,,utaniua kwa kukosa pumzi
Hiyo vocha ni ya kuwasiliana na Mungu Mbinguni ?oya Remy niazime million 30 nikanunue vocha;
sikutegemea ungeelewa kirahisi ivi,,, asante sana 😂Bc mamaa, ngoja nikupe nafasi ya kupumua 😎
Nasubir upumue kwanza afu nakurudia 😂sikutegemea ungeelewa kirahisi ivi,,, asante sana 😂
Mxiuuu,,,sema uko bize 😂😂Nasubir upumue kwanza afu nakurudia 😂
Em njoo PM afu tuone kama niko busy 😎Mxiuuu,,,sema uko bize 😂😂
Toka mxiuuu 😂🙌🏾🏃🏾♀️Em njoo PM afu tuone kama niko busy 😎
Asante kwa kiss 🥰Toka mxiuuu 😂🙌🏾🏃🏾♀️