TimefiMjitaidi kuzunguka na mikoa ya wenzenu nchi kubwa hiyi msijifungie kwenye box
Huku niliko unaweza kaa hata mwez usimsikie MTU akitaja Samia suruhu au kiongozi wa nchi
Stories za huku
π oya mwana zile scania zako uliagiza wapi; oya Remy niazime million 30 nikanunue vocha;
wakuu mwenyewe nilistaajabu
toka
nije huku nimesahau kama kuna sex dunian na nimegundua usipokuwa na kazi unawaza...............muda wote
Mjitaidi kuzunguka na mikoa ya wenzenu nchi kubwa hiyi msijifungie kwenye box
Huku niliko unaweza kaa hata mwez usimsikie MTU akitaja Samia suruhu au kiongozi wa nchi
Stories za huku
π oya mwana zile scania zako uliagiza wapi; oya Remy niazime million 30 nikanunue vocha;
wakuu mwenyewe nilistaajabu
toka
nije huku nimesahau kama kuna sex dunian na nimegundua usipokuwa na kazi unawaza...............muda wote
dsm unapaona kama mbinguni eehhh mji wa kawaida sana huuKwahiyo Unataka tutoke DSM mkuu?
dsm unapaona kama mbinguni eehhh mji wa kawaida sana huu
sawa mkuuKawaida Sana mkuu but the home is where the peace is
Jf ni kiboko ukijifanya kudanganya inakula kwakoπ π π π π π π labda kaenda kusoma
Amka ukakojoe wew fala hizo ndoto za mchana utachafua shukaMjitahidi kuzunguka na mikoa ya wenzenu nchi kubwa hiyi msijifungie kwenye box
Huku niliko unaweza kaa hata mwez usimsikie MTU akitaja Samia suruhu au kiongozi wa nchi
Stories za huku
π oya mwana zile scania zako uliagiza wapi; oya Remy niazime million 30 nikanunue vocha;
wakuu mwenyewe nilistaajabu
Toka nije huku nimesahau kama kuna sex dunian na nimegundua usipokuwa na kazi unawaza muda wote
Teh teh teh π π umeamua kumuanika.....Sio wewe umeandika huu uzi?
Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.www.jamiiforums.com
Utasikia KataviWapi huko?
Igweee!!Sio wewe umeandika huu uzi?
Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.www.jamiiforums.com
AiseeeSio wewe umeandika huu uzi?
Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.www.jamiiforums.com