vijana msome mjaribu bahati ya ajira, mjiajiajiri / biashara, kuwa msanii au mwamichezo ni kundi halizidi watu elf 1 nchi nzima waliofanikiwa.

Nchi yenyewe sahivi kila mtoto anataka kuwa msanii,wakata uno

Ova
 
Sawa ujumbe umefika Kwa walengwa
 
Ujumbe murua kabisa.

Kuna viumbe wanalazimisha wote tuwe kina misso misondo, tuwe kina joti sijui kina mwijaku.

Wanawalaumu waliosoma eti hawajiongezi bila kujua kua hivyo ni vipaji mtu anazaliw navyo tu.

Wengine kuongea na watu na kujichanganya ni shida atakuaje na hizo karama.
 

Mwijaku ni msomi.

Na anafanya alichosomea chuo kikuu

Mwijaku ana degree ya sanaa ya maigizo kutoka chuo kikuu cha dar es salaam.
 
Mwijaku ni msomi.

Na anafanya alichosomea chuo kikuu

Mwijaku ana degree ya sanaa ya maigizo kutoka chuo kikuu cha dar es salaam.
Najua hilo.

Ila kuna jamaa kaleta uzi humu kutaka watu wawe kama yeye kisa tu kaona kajenga ghorofa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…