Vijana na nafasi za uongozi Marekani

Vijana na nafasi za uongozi Marekani

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
861
Reaction score
1,476
Wanajamvi kuna suala la USA kutowaamin vijana kwa upande wangu nimeshuhudia masenators wengi ni wazee ha hata viongozi mbalimbali wa mataasisi na hata pia cabinet secretaries na member of house of Representatives. Je ni kweli USA haimini ktk vijana ktka masuala ya uongozi?
 
Wanajamvi kuna suala la USA kutowaamin vijana kwa upande wangu nimeshuhudia masenators wengi ni wazee ha hata viongozi mbalimbali wa mataasisi na hata pia cabinet secretaries na member of house of Representatives. Je ni kweli USA haimini ktk vijana ktka masuala ya uongozi?
Tazama waliojaribu kupewa uongozi hapa kwetu na papara walizonazo wakishindana kuiba wawe sawa au zaidi ya wanasiasa wazee walioiba tangu uhuru.

US wanawahubiria vitu wasivyoishi. Mfano, hawapigii kura jinsia bali uwezo wa mtu na wala hakuna cha viti maalum bungeni kwa wanawake. Yani hakuna usawa wa viti kwa upendeleo wa kijinsia.

Hakuna eti zamu ya vijana, ni mwendo wa kuuza sera na uwezo.
 
Tazama waliojaribu kupewa uongozi hapa kwetu na papara walizonazo wakishindana kuiba wawe sawa au zaidi ya wanasiasa wazee walioiba tangu uhuru.
US wanawahubiria vitu wasivyoishi. Mfano, hawapigii kura jinsia bali uwezo wa mtu na wala hakuna cha viti maalum bungeni kwa wanawake. Yani hakuna usawa wa viti kwa upendeleo wa kijinsia.
Hakuna eti zamu ya vijana, ni mwendo wa kuuza sera na uwezo.
kwaio hii issue ya vijana ni scam kwetu
 
Tazama waliojaribu kupewa uongozi hapa kwetu na papara walizonazo wakishindana kuiba wawe sawa au zaidi ya wanasiasa wazee walioiba tangu uhuru.
US wanawahubiria vitu wasivyoishi. Mfano, hawapigii kura jinsia bali uwezo wa mtu na wala hakuna cha viti maalum bungeni kwa wanawake. Yani hakuna usawa wa viti kwa upendeleo wa kijinsia.
Hakuna eti zamu ya vijana, ni mwendo wa kuuza sera na uwezo.
Safi
 
Wewe Makamu wa Rais JV una miaka mingapi!?

Kila Mtu na "Maisha Yake"


Kila enzi na "Mambo yake"


"Akili za Watu hizo"


Mtachomoka hata kwenye UTEUZI kitabu gani cha Uongozi tukitumie

download.png
download (3).jpg
 
Inawezekana, serikali ya marekani ipo very serious inapokuja issue ya maendelelo. Trump viongozi wote aliowapa shavu kwenye serikali yake ni above 45+
na
Recently E. Musk na project yake ya D.O.G.E (Department of government efficie.. ) amekua akikazia Marekani kuwa kama ROMA .

ROMA mikakati yote ya maendelelo na maendeleo kwa kiasi kikubwa kupangwa/kutekelezwa na wazee.

ROMA Wana kamati yao inaitwa Baraza la viongozi (most miaka n 50+ )
Hili Baraza ni Fire, ndo lilipindua nchi nyingi na kuzitawala kimabavu kipindi icho cha ubabe wa roma plus kutengeneza makanisa nchi zote dunian


Zipo nafasi za uongozi vijana hawatakiwi kupewa, especial zile zenye dhamana kubwa kama raisi, waziri mkuu..., Tho vijana bado wanaji tafuta + mambo mengi
 
Tazama waliojaribu kupewa uongozi hapa kwetu na papara walizonazo wakishindana kuiba wawe sawa au zaidi ya wanasiasa wazee walioiba tangu uhuru.
US wanawahubiria vitu wasivyoishi. Mfano, hawapigii kura jinsia bali uwezo wa mtu na wala hakuna cha viti maalum bungeni kwa wanawake. Yani hakuna usawa wa viti kwa upendeleo wa kijinsia.
Hakuna eti zamu ya vijana, ni mwendo wa kuuza sera na uwezo.
Nancy Pelosi mshahara wake kwa mwaka $234,000 ameingia madarakani akiwa na $2M. Sasa hivi ana $240,000,000 kutoka $2M mpaka $240M huyu nae?.
 
Nancy Pelosi mshahara wake kwa mwaka $234,000 ameingia madarakani akiwa na $2M. Sasa hivi ana $240,000,000 kutoka $2M mpaka $240M huyu nae?.
Huyu bibi naye anatuhuma za kununua na kuuza stock kwa kutumia inside info ambazo hazipatikani kwa public. Hata michelle obama naye now kupuitia siasa kawa milionea.
 
Back
Top Bottom