Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Ile Ni chuma Iron lady 🤣🤣🤣🤣🤣Hawa watu wa Ijumaa ni waongo sn, bahati mbaya maza anateswa na udini haoni wala hasikii, angalia Ummy ni takataka kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile Ni chuma Iron lady 🤣🤣🤣🤣🤣Hawa watu wa Ijumaa ni waongo sn, bahati mbaya maza anateswa na udini haoni wala hasikii, angalia Ummy ni takataka kabisa
Hakumini vijana sahihi.Jiwe aliwaamini vijana lkn matokeo yake sote tuliona nin kilitokea.
kwa Tz vijana bado sana tuendelee tu na hao hao wazee.
Wew mwenye pesa umejenga barabara ya lami km ngapi?Wewe unajua? Hizo ni stori za wajinga Ili muwakamate nyumbu.Wenye pesa wanatumia hela kuleta kile wanachotaka na sio stori za majukwaani kudanganya wajinga.
Umewahi ona wenye pesa wanaandamana sijui wanaenda kwenye mikutano ya Wanasiasa?
Mimi natumia mda wangu kutafuta pesa Ili nyie Wanasiasa njaa mje kwangu kukopa hela baadae nipate madili au mpitishe mambo yenu kwangu ila sio kwenda kuwapigia sijui kura sijui kuandamana hiyo ni wajibu wa maskini wasiojitambua ambao wanadhani mwanasiasa atawaletea maisha Bora 😆😆😆😆
Chuma uleteIle Ni chuma Iron lady 🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo sio ww kwanza ila kwa kuwa wengi wenu ni nyumbu ndio maana mnazuzuka.
-Andry Rajoelina aliingia akiwa na miaka 34 tuu hapo Madagascar,Sasa uliza kama hao Vijana walipata walichokitaka.
-Pili wapo waliopindua wako huko Burkinafso Wana miaka 37 wanapiga porojo za Putin tuu hakuna Cha maana wanafanya.
Kiufupi ni mpumbavu pekee ndie ataendelea kutumiwa na Wanasiasa.Serikali haigawi pesa na Kuongoza Nchi sio sawa na familia.
Mwisho huyu bwana ni kivuli wa Sokko na sio mwenye njaa wamefanya kazi huko TRA ya Senegal baada ya kushiba na kuzibuna ndio wakaingia kwenye siasa.
View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1772458532152963253?t=jKUhdRJBGDvkKGBEgn8brQ&s=19
Mamia ya watu wamekufa Hadi Sasa ila Kwa upumbavu wao,eti unampigania mwanasiasa.
Mwisho mavijana mengi ni mihemko,hawafai kabisa Tanznaia Hatuwezi kubali kufanyiwa majaribio maisha yetu.