Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

Mondela

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2021
Posts
2,567
Reaction score
3,777
Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.

Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kama maada inavyo jieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen. Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya sreen [emoji24][emoji24][emoji24] sina ham mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Umeyakanyaga man beba mzigo wako [emoji1787][emoji1787]
 
Kama maada inavyo jieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen. Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya sreen [emoji24][emoji24][emoji24] sina ham mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hahaha last week nilimtumia mchungaji txt tata kwani ziliingia dabo dabo haha
 
Kama maada inavyo jieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen. Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya sreen [emoji24][emoji24][emoji24] sina ham mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Umefika home?
Umeanza utetezi?
Nijibu nikupe mbinu
 
Hatuwapagi namba ya laini za watu wako wa muhimu michepuko,,,Sajili namba kwa ajili ya hao michepuko ambayo utakuwa unawapa kwa ajili kufanya nao upuuzi,,,na jitahidi uwe na simu mbadala kwa ajili ya upuuzi wako,,,Nipasie namba za mke wako nimalize mchezo!! ili amani irudi kwa ndoa yenu!!
 
Back
Top Bottom