Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Na mimi nafanya hivyo kukwepa ugomvi na watu.Hii ndio akili, simu yangu sijawahi ruhusu aina yoyote ya notification.. na mda wote ipo kwenye silent mode
Nb. sina michepuko 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nafanya hivyo kukwepa ugomvi na watu.Hii ndio akili, simu yangu sijawahi ruhusu aina yoyote ya notification.. na mda wote ipo kwenye silent mode
kwa wewe sina mashaka kabisaa 😅😅 unaaminika sana.. huna makeke labda kama nyuma ya pazia una movie zingineNa mimi nafanya hivyo kukwepa ugomvi na watu.
Nb. sina michepuko 😄
Mbona umefurahi, au wewe ndiye Mke wa mleta mada?[emoji1787][emoji1787]
Mnamsingizia vitu vingi sana huyo mnyaazi mungu.Kweli MWENYEZI MUNGU amfichi Msaliti aka Mnafki
Uliwapeleka wapi wewe akina Katoto Kazuri, Rebecca na Cariha?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli kimenuka
Kikao cha kiumeni tulikubaliana kuwa hata Ke akikufumania na Mchepuko unapaswa ukatae kata kata.Nimeyakanyaga [emoji24][emoji24] DeepPond njoo unipe mbinu huku
[emoji23] kuna muda tunaweza patikana na vitu wengine wakaelewa tofauti sasa kukwepa yote haya ni kuzima kila kitu ili maisha yabaki na amani.kwa wewe sina mashaka kabisaa [emoji28][emoji28] unaaminika sana.. huna makeke labda kama nyuma ya pazia una movie zingine
WAsi wasi ndio akili 😅😅[emoji23] kuna muda tunaweza patikana na vitu wengine wakaelewa tofauti sasa kukwepa yote haya ni kuzima kila kitu ili maisha yabaki na amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa we ni Black Beautiful Girl "BBG" tafadhali bakia hivyo hivyo kama Chakorii maana mnazidi kuadimika sana karne hii ya 21 na sisi Wahenga ndiyo ugonjwa wetu huo...[emoji2960]sawasawa
Na Boss mwenyewe awe "Nshomire" [emoji16][emoji28][emoji28][emoji28] Ni kweli aisee. Mm nilishawah kukutwa na Text mbili zili pop-up kwenye screen juu, Moja ya Boss alikua anakumbusha majukumu Fulani na nyingine ilikua ni ya Ex. Nikataka nimjibu yule ex aache Shobo maana alikua ananisumbua Sana akitaka turudiane na akiniahidi kujizalia watoto wazuri Sana. So nikamjibu " Acha Shobo" kumbe ilienda kwa Boss. Kilichofatia n Simanzi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji19]
Na wasio wazinzi nao wamo kwenye uzi usiowahusu [emoji4]Wazinzi katika kushauriana
Nisingizie mimi ndio nilitumia simu yako kumjibu mchepuko wangu.Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.
Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijaelewa mkuu?Uliwapeleka wapi wewe akina Katoto Kazuri, Rebecca na Cariha?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2]WAsi wasi ndio akili [emoji28][emoji28]
Ila huna mambo mengi hata anae kuonea ataenda motoni tu
HahahaKweli MWENYEZI MUNGU amfichi Msaliti aka Mnafki
Mambo mengine lakini best.. 😊😊
Yalishawah kunikuta hayo nlikua machat na mademu wawil kwa wakat mmoja huku nikiangalia movie kwny cmKama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.
Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]